Huyu Hapa January Makamba Nje Ya Siasa

Huyu Hapa January Makamba Nje Ya Siasa

Naamanisha nje ya majukumu ya siasa pia yupo karibu na familia yake na wanae na kuwasaidia katika kila hatua ikiwa ni pamoja na kuwatia moyo na kuwapatia upendo wa baba.badala ya muda wote kuwa mbali na watoto pamoja na kutowapatia nafasi kama Baba mzazi ya kuwasikiliza.
Mbunge hata akipost yupo na wanawe hiyo ni sehemu ya kampeni ya kisiasa kujionesha kuwa yeye ni baba bora.

Mbona akija kukaa na mahawara zake huku hajiposti kujionesha yeye anaruka nje ya ndoa yaje?
 
Mbunge hata akipost yupo na wanawe hiyo ni sehemu ya kampeni ya kisiasa kujionesha kuwa yeye ni baba bora.

Mbona akija kukaa na mahawara zake huku hajiposti kujionesha yeye anaruka nje ya ndoa yaje?
Hayo ni mawazo yako yasiyo na ukweli.
 
A proud dad to take care of his child by funds stolen from poor parents for their poor kids
 
As a Gen Z am sure she might do a better job without reading a manual like one is assembling a Rocket or a Quantum Machine
 
Sawa picha inaendana na heading,sasa maelezo yako ndyo hayana relation kati ya picha na heading. Nina wasiwasi hujaelewa alichoandika makamba
 
Ndugu zangu Watanzania,View attachment 3101067

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hakuna maisha mazuri kama hayo. Walio huko siasani ni mateso matupu.
 
Back
Top Bottom