Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #21
Rudi shule kwanza.Si ndiyo naomba unisaidie nielewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudi shule kwanza.Si ndiyo naomba unisaidie nielewe
Zero brain wewe unaonekana tuAcha dharau wewe😀😀mimi nakijuwa vizuri sana kizungu.
Sina tatizo kurudi shule sawa lakini si nimeomba msaada kwako na wewe ni rafiki angu mkubwa, shida iko wapi tena?Rudi shule kwanza.
Ni lijitu lijinga kupita maelezo, lipo lipo tu hapo ofisi za UWT Wilaya ya ChunyaZero brain wewe unaonekana tu
Msambaaa ana tabu huyu....Ndugu zangu Watanzania,View attachment 3101067
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huo muhula wa pili unaomuombea utatoka Mbinguni?Kwani kuna uchaguzi wa nini hadi useme namuombea kura.
We jamaa you murdered my ribs!Tuwe makini na January Makamba yuko kimya sana usikute anatafuta mteja wa kumuuzia mlima kilimanjaro
Stress za kuwekwa pembeni hizoAnaonyesha mfano mzuri na upendo kama Baba kwa mwanae na kumsaidia kutimiza malengo yake.
Dogo acha utani wakoNi lijitu lijinga kupita maelezo, lipo lipo tu hapo ofisi za UWT Wilaya ya Chunya
Stress kivipi ndugu yangu.umeelewa kilichoandikwa lakiniStress za kuwekwa pembeni hizo
Tabu gani tena.Msambaaa ana tabu huyu....
Shughulikia basi ombi languDogo acha utani wako
Endelea kubaki na ujinga wako mpaka uwe na adabu kwa kaka zako.Shughulikia basi ombi langu
January haaminikiWe jamaa you murdered my ribs!
Huyo January mbunge, utasemaje yuko nje ya siasa?Ndugu zangu Watanzania,View attachment 3101067
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwa hiyo ulitaka aseme Bintiye anasomea ufundi cherehani wakati ukweli ni kuwa anasomea Udaktari?Huyo January mbunge, utasemaje yuko nje ya siasa?
Hiyo picha yenyewe ni kampeni ya kujinadi kisiasa kwamba yeye ni baba bora, anasomesha binti yake, binti anajielewa vizuri, anasoma masomo ya tiba.
Huelewi kuwa hii ni siasa pia?
Unasemaje mtu yuko nje ya siasa wakati bado ni mbunge?Kwa hiyo ulitaka aseme Bintiye anasomea ufundi cherehani wakati ukweli ni kuwa anasomea Udaktari?
Naamanisha nje ya majukumu ya siasa pia yupo karibu na familia yake na wanae na kuwasaidia katika kila hatua ikiwa ni pamoja na kuwatia moyo na kuwapatia upendo wa baba.badala ya muda wote kuwa mbali na watoto pamoja na kutowapatia nafasi kama Baba mzazi ya kuwasikiliza.Unasemaje mtu yuko nje ya siasa wakati bado ni mbunge?