Huyu Hapa January Makamba Nje Ya Siasa

Mbunge hata akipost yupo na wanawe hiyo ni sehemu ya kampeni ya kisiasa kujionesha kuwa yeye ni baba bora.

Mbona akija kukaa na mahawara zake huku hajiposti kujionesha yeye anaruka nje ya ndoa yaje?
 
Mbunge hata akipost yupo na wanawe hiyo ni sehemu ya kampeni ya kisiasa kujionesha kuwa yeye ni baba bora.

Mbona akija kukaa na mahawara zake huku hajiposti kujionesha yeye anaruka nje ya ndoa yaje?
Hayo ni mawazo yako yasiyo na ukweli.
 
A proud dad to take care of his child by funds stolen from poor parents for their poor kids
 
As a Gen Z am sure she might do a better job without reading a manual like one is assembling a Rocket or a Quantum Machine
 
Sawa picha inaendana na heading,sasa maelezo yako ndyo hayana relation kati ya picha na heading. Nina wasiwasi hujaelewa alichoandika makamba
 
Mtoto wake asije kuwa kama mwizi tu kama baba yake
 
Hakuna maisha mazuri kama hayo. Walio huko siasani ni mateso matupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…