Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
🐷+🍌🥗+🍺 Oooh halleluyahJioni nitumie nmba zako nikuagizie kanusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🐷+🍌🥗+🍺 Oooh halleluyahJioni nitumie nmba zako nikuagizie kanusu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mara Moja moja, kama Jana nligusa maana nlikuwa hovyo kwenye medulla nkaona niiupdate software kichwani
Jumla Kia's gani nitume[emoji200]+[emoji529][emoji1637]+[emoji481] Oooh halleluyah
Nusu 6000 ndizi mbili 1000 glass ntajinunuliaJumla Kia's gani nitume
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]Vya msingi mkuu ni kufanya ibada na kutoa zaka. Uwe na utu,uwatendee wema wazazi wako na watu wengine,Usizini,Usiseme uongo,acha roho mbaya na unafiki.
Kuchukia wavaa kobazi, Waarabu, Wachina au kuwasema vibaya wasioamini unachoamini sio ibada, zaidi unajipa stress! Wala hupati upako!
Tuma nmba inboxNusu 6000 ndizi mbili 1000 glass ntajinunulia
Natanguliza shukrani my wangu
Ata kumchukia mdudu ni dhambi sabu hujamuumba wewVya msingi mkuu ni kufanya ibada na kutoa zaka. Uwe na utu,uwatendee wema wazazi wako na watu wengine,Usizini,Usiseme uongo,acha roho mbaya na unafiki.
Kuchukia wavaa kobazi, Waarabu, Wachina au kuwasema vibaya wasioamini unachoamini sio ibada, zaidi unajipa stress! Wala hupati upako!
Wanasema ukizidiwa na njaa mtafune mdudu kidogoKwani akina mudii wana semaje kuhusu hili
Nipo mbeya nusu na ndiz mbili hua napat kwa 5500Nusu 6000 ndizi mbili 1000 glass ntajinunulia
Natanguliza shukrani my wangu
Huku nusu 6000Nipo mbeya nusu na ndiz mbili hua napat kwa 5500
Nimemiss kitimoto baada ya kuona hii postHuyu mnyama anapigwa Vita Sana huko saud Arabia ila amekuwa na moyo wa kipee kwani hivi karibuni huko marekani amepandikizwa mtu Figo ya nguruwe baada ya Figo ya awali ya binadamu kufeli ndipo madaktari wakapandikiza Figo ya nguruwe na Sasa mgonjwa amepona na anaendele vzr tu
Natoa Rai kwa serekali yetu ya mama Samia kuwa na recordi za mnyama huyu interm of idada Yao kwa kila mkoa na ielekeze bajeti kubwa kukabiliana na magonjwa yanayo kabili sector hyo muhimu
Huyu mnyama amekuwa akizengenywa sana Na kuzingiziwa magonjwa mengi Lkn bado anadunda na kunennepa
Kwa taarifa nilizo nazo Ni kuwa watu laki 100,000 wanamatatizo ya Figo nchi marekani wanasubiri upandikizaji
View attachment 2954497View attachment 2954498
Tena nguruwe kamzidi binadam yeye anafakamia chochote tu, kalaaniwa huyo mnyama.Kukosa elimu kula nguruwe ni haramu haibadiliki hata Yesu hakula huyo mdudu japo walikuwa wengi, kweny kumbukumbu alitupilia mbali mapepo kwa nguruwe .
Kama unakula nguruwe basi unaweza kula binadamu mwenzako ,utafita binadamu na nguruwe wapo group moja wanafanana kila kitu mfano ulaji wa vyakula (Maji na nyama) wote wanakula ,bado nguruwe anaingia period kama binadamu😅😅😅😅
😅😅😅Jamaa wanalazimisha wakati mla nguruwe anaweza kula nyama ya mtu.Tena nguruwe kamzidi binadam yeye anafakamia chochote tu, kalaaniwa huyo mnyama.
Alimla nani nguruwe toa mfano😅😅😅Jamaa wanalazimisha wakati mla nguruwe anaweza kula nyama ya mtu.