Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
"Huyu mnyama amekuwa akizengenywa sana Na kuzingiziwa magonjwa mengi Lkn bado anadunda na kunennepa"
🤣
🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nguruwe anakula chochote mpaka mzoga ,anakula watoto wake akiwa na njaa.Alimla nani nguruwe toa mfano
Hapa sasa makachero watakuadabishaTena unaenda kumlia Zanzibari kabla ya Mwezi kuisha😃😃😃😃😃😃😃
Kinachokatizwa ni kula nguruwe,kwa nyama kuwa na maradhi,na minyoo ambayo kufa,inataka ipikwe kwa mda mrefu.Na kupandikiza kiungo,sio kosa,kwasababu hata viungo vya binadamu,vinapandikizwa,lakini binadamu ni haramu kumla.Duh! Naimagine the way atavoreact mutu yaile dini nyingine aambiwe anawekewa figo ya nguruwe sipati picha kabisa!
Inapendeza sana
Cc Smart911
Nguruwe ni mnyama aliyekatazwa kuuliwa kwa kuliwa hata kutumikishwa kutokana na uasili wake, hivyo kama ikiwa anaweza kutoa msaada kwa wenye kutaka msaada wa nguruwe ni ruksa, imani za watu wengine ziheshimiwe. ziheshimiwe.Huyu mnyama anapigwa Vita Sana huko saud Arabia ila amekuwa na moyo wa kipee kwani hivi karibuni huko marekani amepandikizwa mtu Figo ya nguruwe baada ya Figo ya awali ya binadamu kufeli ndipo madaktari wakapandikiza Figo ya nguruwe na Sasa mgonjwa amepona na anaendele vzr tu
Natoa Rai kwa serekali yetu ya mama Samia kuwa na recordi za mnyama huyu interm of idada Yao kwa kila mkoa na ielekeze bajeti kubwa kukabiliana na magonjwa yanayo kabili sector hyo muhimu
Huyu mnyama amekuwa akizengenywa sana Na kuzingiziwa magonjwa mengi Lkn bado anadunda na kunennepa
Kwa taarifa nilizo nazo Ni kuwa watu laki 100,000 wanamatatizo ya Figo nchi marekani wanasubiri upandikizaji
View attachment 2954497View attachment 2954498
Tofautisha kupandikizwa na kula,dini zote na wasio na dini,ni haramu kula nyama ya binadamu mwenzako,lakini sio haramu kupandikizwa kiungo cha binadamu mwenzako.
kama alikuwa halambi kitimoto, ataanza kulamba tuDuh! Naimagine the way atavoreact mutu yaile dini nyingine aambiwe anawekewa figo ya nguruwe sipati picha kabisa!
Inapendeza sana
Cc Smart911
Ni kweli natak unitajie ata kwa histiria binadamu gan aliliwa na ngurueNguruwe anakula chochote mpaka mzogo ,anakula watoto akiwa na njaa.
Nyama ya nguruwe na mtu zipo sawa .
My wetu😍😍Hana hiana mnyama wetu
Kwa iyo saiv system iko clean [emoji23][emoji23] una run latest update iOS 17[emoji16]Mara Moja moja, kama Jana nligusa maana nlikuwa hovyo kwenye medulla nkaona niiupdate software kichwani
🤣🤣Kuna setups namalizia kuziinstall soon program zinaanza kuoperateKwa iyo saiv system iko clean [emoji23][emoji23] una run latest update iOS 17[emoji16]
Jioni nitumie nmba zako nikuagizie kanusu
Huyu mnyama anapigwa Vita Sana huko saud Arabia ila amekuwa na moyo wa kipee kwani hivi karibuni huko marekani amepandikizwa mtu Figo ya nguruwe baada ya Figo ya awali ya binadamu kufeli ndipo madaktari wakapandikiza Figo ya nguruwe na Sasa mgonjwa amepona na anaendele vzr tu
Natoa Rai kwa serekali yetu ya mama Samia kuwa na recordi za mnyama huyu interm of idada Yao kwa kila mkoa na ielekeze bajeti kubwa kukabiliana na magonjwa yanayo kabili sector hyo muhimu
Huyu mnyama amekuwa akizengenywa sana Na kuzingiziwa magonjwa mengi Lkn bado anadunda na kunennepa
Kwa taarifa nilizo nazo Ni kuwa watu laki 100,000 wanamatatizo ya Figo nchi marekani wanasubiri upandikizaji
View attachment 2954497View attachment 2954498
Siku hizi wanatumia za mabondo ya samaki sangara piaNyuzi ya kushonewa na kuozea ndani baada ya operation hutengenezwa na misuli ya Tendons na ile ya shingoni mwa mdudu.
Huwa najiuliza which is which? Ufanyiwe operation ushonwe na nyuzi za mnyama au ufe