Huyu hapa ndiye Paul Christian Makonda mwamba wa Kaskazini

Alahaji MAKONDA
 
Sativa aliokotwa katika mbuga ulipo mkoa wa huyo RC unayemsifia Kila kukicha.

Jaribu kumuuliza, ilikuwaje kuwaje mkoa anaouongoza kuwa dampo la wasiojulikana kutupa mizigo Yao?
 
We jamaa wewe...
 
Sativa aliokotwa katika mbuga ulipo mkoa wa huyo RC unayemsifia Kila kukicha.

Jaribu kumuuliza, ilikuwaje kuwaje mkoa anaouongoza kuwa dampo la wasiojulikana kutupa mizigo Yao?
Kweli wewe umechanganyikiwa kabisa .Katavi ndio Arusha?
 
Mwasisi wa kauli mbiu ya kazi iendelee ni JPM (Acha_Kazi_Ziendelee) 2020
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…