Huyu hapa ndiye Paul Christian Makonda mwamba wa Kaskazini

Ukifuatilia IDs zinazomchukia Makonda ni wachaga watupu...

Nilitegemea achukiwe na maasai na wameru maana ndio haswaa wenye mkoa wao, why Chaga...

Makonda aliwafanya nini?
Hata mm namchukia ni mnyakyusa tangu alipompiga Mzee Warioba
 
Kwahiyo Jamaa nayeye ame adopts culture za waliopewa Ngorongoro?
 
Unavyomsifia mume wa mtu unatia shaka, wewe na Sufian mtakuwa mna tatizo la kimaumbile
 
Mwamba wa kaskazini tunamjua Joh Makini peke yake, huyo unayemsema unamjua wewe 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…