Huyu hapa ndiye Paul Christian Makonda mwamba wa Kaskazini

Huyu hapa ndiye Paul Christian Makonda mwamba wa Kaskazini

Ndugu zangu Watanzania,

Ukiangalia picha hii ya Leo ya Mheshimiwa Omar Mchengerwa Waziri wa TAMISEMI akiwa pamoja na Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara namna walivyo tabasamu na kujawa na furaha katika nyuso zao inafika wakati unasema kuwa Mungu ni Mungu Tu na atabakia kuwa Mungu tu.

Wapo watu wenye roho mbaya,roho za kichawi ,roho za kishetani,wivu,chuki binafsi na ujinga hawaamini macho yao wanapoona picha hiii ya Mwamba Mwenyewe Paul Makonda akiwa katika tabasamu.kwa sababu tayari wao walishamtangazia kifo,walishamuua katika ulimwengu wao wa kiroho,walishakaa na kusubiri tangazo la kifo chake,tayari wao walishafanya sherehe za kwamba huyo mtu hayupo tena Duniani.

Ndio sababu picha kama hii wakiiona machoni mwao wanatamani kuzimia,wanatamani kupasuka ,wanatamani wangekuwa ni Mungu wafanye yao ,wanatamani asionekane hadharani, wanatamani picha kama hiyo isisambae kwa watu waliowapotosha maana inawaumiza ,inawatesa ,inawapa maumivu kuona Mwamba akiwa na tabasamu huku wao wakiendelea kuishi maisha yasiyo ya furaha .

Mwamba Paul Christian Makonda ataendelea kuwepo kwa kadri ya Mapenzi ya Mwenyezi Mungu na siyo mipango ya mwanadamu mwenye chuki binafsi. Mwamba Makonda ni muujiza unaotembea na anaendelea kuwa hapo alipo kwa Neema ya Mungu tu ambaye siku zote ndiye amekuwa mlinzi wake.

Kazi nzuri ,ucha Mungu wake,huruma yake kwa watu,msaada na matendo yake ya kugusa maisha ya watu kama vile yatima ,wajane,wazee wasio jiweza ambao wamekuwa wakisaidiwa na Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda imefanya hata Mungu Mwenyewe kuendelea kumlinda Mja wake wakati wote. Ni Mungu Mwenyewe ndiye amekuwa akiziongoza hatua za Mwamba Makonda na ndiye amekuwa nuru na taa ya Maisha yakeView attachment 3097352

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ila ujue ana mke huyo siyo unajilengesha lengesha ukitegemea kupata ndoa hapo.
 
Warudi kwao hawa machawa. Kaskazini hatuna watu wa type hii. Hawa ni watu wa kusini na Makonda msukuma atuachie kaskazini yetu hatunaga washamba shamba hivi.
Wewe huna hadhi ya kumwita Makonda mshamba maana anakuzidi wewe na ukoo wako wote!
Makonda anamiliki Ardhi kubwa kuliko wewe Arusha!
Kuwa mpole mara nyingi mnaongozwa na chuki za Kikabila zilizopitwa na Wakati unasema Kaskazini yetu wewe una nini huko kaskazini?
Makonda sio level zako na huyo Lema wako na wewe anawalisha mwaka mzima!
 
Huo ugonjwa wala sio kisingizio kila mtu dunia nzima alikuwa anabahatisha tu!
China walifanya upuliziaji kama alosema Makonda!
Makonda still the Best Leader kuliko unavyotaka kutuaminisha hapa!
Umenena ukweli kabisa .wengine wanaongozwa na chuki binafsi tu za kijinga jinga tu.
 
Jinga sn labda kaskazini ya nyumbani kwenu, sisi hatuwezi kuwa na mwamba kilaza, katili, mwizi na chizi kama huyo
Huyo ndio anatambulika na wana kaskazini kama Mwamba wa Ukanda huo. Si unaona namna lema na wenzake walivyonywea na kutulia kwa sasa? Sauti ni moja tu kasikazini ambayo ni ya Mwamba Makonda
 
kwa sasa chadema hawana lakuwashawishi watanzania, hii wiki nimekua moshi wanapojinasibu kuwa moja ya ngome zao wallah wajitadhimini heko wana moshi kwa kiamini chama cha mapinduzi na kukipa jimbo
 
kwa sasa chadema hawana lakuwashawishi watanzania, hii wiki nimekua moshi wanapojinasibu kuwa moja ya ngome zao wallah wajitadhimini heko wana moshi kwa kiamini chama cha mapinduzi na kukipa jimbo
Hakuna mwenye akili Timamu na anayejitambua anayeweza waamini na kuwaunga mkono CHADEMA.hao ni madalali wa siasa na wachumia tumbo tu.
 
Hakuna mwenye akili Timamu na anayejitambua anayeweza waamini na kuwaunga mkono CHADEMA.hao ni madalali wa siasa na wachumia tumbo tu.
WOte hata Ccm ila aisee nawaogopa sana CHADEMA SIO utani eti naombaga Mungu wasishike uongozi tutavurugwa hadi tuwe ombaomba au vitani bora hata wazalendo sijui act wazalendo . Chadema wanageukana wenyewe kwa wenyewe utazania madalali wa ukoo
 
Back
Top Bottom