Hata mm namchukia ni mnyakyusa tangu alipompiga Mzee WariobaUkifuatilia IDs zinazomchukia Makonda ni wachaga watupu...
Nilitegemea achukiwe na maasai na wameru maana ndio haswaa wenye mkoa wao, why Chaga...
Makonda aliwafanya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mm namchukia ni mnyakyusa tangu alipompiga Mzee WariobaUkifuatilia IDs zinazomchukia Makonda ni wachaga watupu...
Nilitegemea achukiwe na maasai na wameru maana ndio haswaa wenye mkoa wao, why Chaga...
Makonda aliwafanya nini?
Endelea kumchukia cha msingi uwe na sababu zenye mashiko...Hata mm namchukia ni mnyakyusa tangu alipompiga Mzee Warioba
KunguniWatu wameguswa sana na picha hii na kupiga magoti kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa Maisha ya Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda.
Mwamba ni mtu wa haki.Wanasiasa wengi ni wanafiki. Amemaanisha nn. Uarabu au dini ya kiislamu? Anajua hata alif?
Utakufa na chuki yako binafsiHata mm namchukia ni mnyakyusa tangu alipompiga Mzee Warioba
Labda wewe ndiye mwenye tatizo.Taifa letu linazidi kuwa na ujinga kila uchao!
Watu tumetabasamu mpaka miaka imeongezeka sana sanaVipi watu wamebubujikwa na machozi ya furaha au bado?
Unaumia ukiwa wapi huko? Kwanini usinywe sumu UFE tuUnavyomsifia mume wa mtu unatia shaka, wewe na Sufian mtakuwa mna tatizo la kimaumbile
Mwamba hanaga Makuu na anashirikiana na watu wa Dini na madhehebu yote bila ubaguzi wa aina yoyote ile.Kwahiyo Jamaa nayeye ame adopts culture za waliopewa Ngorongoro?
miccm baba,kama mazobieAcha na wengine waendelee kumwona.View attachment 3097505