Huyu Hapa ndo aliyeokoa maisha ya Tundu Lissu pale Dodoma, sio Mbowe

na kwa technology inayotumika MNH kwa sasa, nashauri awahishwe NAIROBI ili baadae asogezwe nchi zenye advanced technology." akasisitiza "Ushauri huu ni wa kitaalam nashauri uzingatiwe
Ndio maana sirudi tena huko mavumbini....
Nafia hukuhuku kwa watwana....
 
Kwani Mtemi Kimweri alikuwa mchaga?
 
Na wewe umekubari kwamba ubalozi ni kutumbuliwa??
Lakin mkuu huyu ulisubsya ni mtaalamu wa afya hospitali, ndipo eneo lake la ujuzi linamuhitaji, sasa ubalozi ambao mm nautafsiri kama siasa wapi na wapi?

uoni kama haikuwa sawa?
 
Hakika Leo umeongea ukweli Wengi walioogopa Kuusema..
Asante
 
Yulia Sio Mnyakyusa ni Manyafu
 
Ni kina nani walihakikisha lissu mpaka kukutana na dokta na pia kupelekwa Nairobi ?
Ndio anawadanganya hivi? Connection ya ma dr inapatikana kwa ma dr
Vitu vingine mnatakiwa ku Reason tu

Wanasiasa ni wahuni kama unavoona kwa sasa wanaunguzana kwenye media
 
Mbowe kwa sasa anatapatapa, anajaribu kushika popote ilimradi ajiokoe...hakujifunza kusoma alama za nyakati au pengine wapambe nuksi maslahi ndio wamempotosha kugombea awamu ingine baada ya miaka 21 madarakani.
Alishazoea kucheza rafu na akawa anafanikiwa. Hakukuwa na refa wa kuziona rafu zake na kuchukua hatua stahiki. Akadhani na safari hii umafia wake utaendelea. Kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho. Umafia wake umefika kikomo. Angekuwa muungwana angesoma alama za nyakati na kukaa kando kwa heshima.
 
Wewe mchaga keyboard yako ina shida gani aiseee
"has if"
"Ni mbora"
"Kuwahikimu"

Na pia majina ya watu na mahali huwa tunaanza na herufi kubwa, Mbowe, Mengi ...
 
They have lose credibility already....🚮
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…