Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ngapi ngapi komredi?Nitakuja kukujibu kwa ufupi ngoja nimalize kuangalia mpira wa yanga.
Kama Comrade Mzee Kingunge alikuwa kamanda wa you vee sisi emu huyu itashindikanaNape Nnauye na Hamad Masauni waliwahi kuondolewa UVCCM kwa tuhuma za kufoji umri , kwamba kwa sheria zinazosimamia Umoja huo wa vijana wa ccm zinamtaka kiongozi wa Umoja huo kutozidisha umri wa miaka 30 .
Sasa hapa pichani ni Mh Faki , mnavyomuangalia hapa mtu huyu ni wa miaka 25 au 28 kweli ?
View attachment 2774543
Wanaoshindwa kujisimamia kwenye vijisheria vyao vidogo vidogo wataweza kusimamia Katiba ya Nchi ?
Katibu mkuu wa UVCCM hachaguliwi bali anateuliwa na Kamati kuu
Ni ajira hivyo kigezo cha umri hakimuhusu
Hata Jokate ana miaka 26 Lakini ni Katibu wa UWT
Ila Hamas sina hamu [emoji23][emoji23][emoji91]
Yanga ameshinda goli 3 kwa sifuliNgapi ngapi komredi?
Duh! Jokate alikuwa mkubwa anatafunwa na akina Diamond na Kiba wanapasiana kama Xavi na Iniesta mimi nikiwa dogo napuyanga huko o level, kumbe nilishamu overtake! Ngoja nikaze kumbe hata JB nitampitaKatibu mkuu wa UVCCM hachaguliwi bali anateuliwa na Kamati kuu
Ni ajira hivyo kigezo cha umri hakimuhusu
Hata Jokate ana miaka 26 Lakini ni Katibu wa UWT
Ila Hamas sina hamu [emoji23][emoji23][emoji91]
ina maana hicho ni chama cha kidini?Huyu na Pambalu ni mulemule, huku ACT sisi tunatumia vigezo tofauti kidogo. Sifa ya mtu kuwa mwenyekiti wa vijana ni kuwa na kadi ya bakwata
Jokate ana miaka 26? Dah, aise kuna watu wamekatika mishipa ya aibu.Katibu mkuu wa UVCCM hachaguliwi bali anateuliwa na Kamati kuu
Ni ajira hivyo kigezo cha umri hakimuhusu
Hata Jokate ana miaka 26 Lakini ni Katibu wa UWT
Ila Hamas sina hamu [emoji23][emoji23][emoji91]