Huyu hapa ni Katibu Mkuu wa UVCCM, Je huyu naye ni kijana?

Huyu hapa ni Katibu Mkuu wa UVCCM, Je huyu naye ni kijana?

Nape Nnauye na Hamad Masauni waliwahi kuondolewa UVCCM kwa tuhuma za kufoji umri , kwamba kwa sheria zinazosimamia Umoja huo wa vijana wa ccm zinamtaka kiongozi wa Umoja huo kutozidisha umri wa miaka 30 .

Sasa hapa pichani ni Mh Faki , mnavyomuangalia hapa mtu huyu ni wa miaka 25 au 28 kweli ?

View attachment 2774543

Wanaoshindwa kujisimamia kwenye vijisheria vyao vidogo vidogo wataweza kusimamia Katiba ya Nchi ?
Kwani Katibu wa umoja/jumuiya ni lazima awe mwanaumoja/mwanajumuiya?
 
Katibu mkuu wa UVCCM hachaguliwi bali anateuliwa na Kamati kuu

Ni ajira hivyo kigezo cha umri hakimuhusu

Hata Jokate ana miaka 26 Lakini ni Katibu wa UWT

Ila Hamas sina hamu 😂😂🔥
Kwamba hata John Malecela anaweza kuwa Katibu wa UVCCM , na kwamba atakaposoma risala ya umoja huo mbele ya Mh Samia ataanza na neno "sisi vijana tunaunga mkono uwekezaji wa bandari" ?
 
Nape Nnauye na Hamad Masauni waliwahi kuondolewa UVCCM kwa tuhuma za kufoji umri , kwamba kwa sheria zinazosimamia Umoja huo wa vijana wa ccm zinamtaka kiongozi wa Umoja huo kutozidisha umri wa miaka 30 .

Sasa hapa pichani ni Mh Faki , mnavyomuangalia hapa mtu huyu ni wa miaka 25 au 28 kweli ?

View attachment 2774543

Wanaoshindwa kujisimamia kwenye vijisheria vyao vidogo vidogo wataweza kusimamia Katiba ya Nchi ?
Hii Kalamu alivyoshika utadhani hata kuandika ni Mgogoro
 
Nape Nnauye na Hamad Masauni waliwahi kuondolewa UVCCM kwa tuhuma za kufoji umri , kwamba kwa sheria zinazosimamia Umoja huo wa vijana wa ccm zinamtaka kiongozi wa Umoja huo kutozidisha umri wa miaka 30 .

Sasa hapa pichani ni Mh Faki , mnavyomuangalia hapa mtu huyu ni wa miaka 25 au 28 kweli ?

View attachment 2774543

Wanaoshindwa kujisimamia kwenye vijisheria vyao vidogo vidogo wataweza kusimamia Katiba ya Nchi ?
Kijana wa zamani labda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nape Nnauye na Hamad Masauni waliwahi kuondolewa UVCCM kwa tuhuma za kufoji umri , kwamba kwa sheria zinazosimamia Umoja huo wa vijana wa ccm zinamtaka kiongozi wa Umoja huo kutozidisha umri wa miaka 30 .

Sasa hapa pichani ni Mh Faki , mnavyomuangalia hapa mtu huyu ni wa miaka 25 au 28 kweli ?

View attachment 2774543

Wanaoshindwa kujisimamia kwenye vijisheria vyao vidogo vidogo wataweza kusimamia Katiba ya Nchi ?
Huyo ni mzee sugu rika la nape
 
Nape Nnauye na Hamad Masauni waliwahi kuondolewa UVCCM kwa tuhuma za kufoji umri , kwamba kwa sheria zinazosimamia Umoja huo wa vijana wa ccm zinamtaka kiongozi wa Umoja huo kutozidisha umri wa miaka 30 .

Sasa hapa pichani ni Mh Faki , mnavyomuangalia hapa mtu huyu ni wa miaka 25 au 28 kweli ?

View attachment 2774543

Wanaoshindwa kujisimamia kwenye vijisheria vyao vidogo vidogo wataweza kusimamia Katiba ya Nchi ?
Kisera bado ni 30
 
Nape Nnauye na Hamad Masauni waliwahi kuondolewa UVCCM kwa tuhuma za kufoji umri , kwamba kwa sheria zinazosimamia Umoja huo wa vijana wa ccm zinamtaka kiongozi wa Umoja huo kutozidisha umri wa miaka 30 .

Sasa hapa pichani ni Mh Faki , mnavyomuangalia hapa mtu huyu ni wa miaka 25 au 28 kweli ?

View attachment 2774543

Wanaoshindwa kujisimamia kwenye vijisheria vyao vidogo vidogo wataweza kusimamia Katiba ya Nchi ?
Mimi mwenyewe nilishangaa sana siku waliposema eti ni katibu wa UVCC.

CCM wanavyokwenda, kuna siku watamchagua Sumaye kuwa mwenyekiti wa UVCCM.
 
Jokate ana miaka 26? Dah, aise kuna watu wamekatika mishipa ya aibu.

Jokate na Madam Wema Sepetu ni wa rika moja maana wote waligombea miss Tanzania 2006 huko na kipindi wanagombea maana yake walikuwa above 18.

Sasa piga tu hesabu rahisi kwamba 2006 alikuwa na miaka 18 hadi leo ama umri gani?
35 aisee
 
Jokate ana miaka 26? Dah, aise kuna watu wamekatika mishipa ya aibu.

Jokate na Madam Wema Sepetu ni wa rika moja maana wote waligombea miss Tanzania 2006 huko na kipindi wanagombea maana yake walikuwa above 18.

Sasa piga tu hesabu rahisi kwamba 2006 alikuwa na miaka 18 hadi leo ama umri gani?
Jokate kazaliwa mwaka 1987. Ana miaka 36.
 
Nape Nnauye na Hamad Masauni waliwahi kuondolewa UVCCM kwa tuhuma za kufoji umri , kwamba kwa sheria zinazosimamia Umoja huo wa vijana wa ccm zinamtaka kiongozi wa Umoja huo kutozidisha umri wa miaka 30 .

Sasa hapa pichani ni Mh Faki , mnavyomuangalia hapa mtu huyu ni wa miaka 25 au 28 kweli ?

View attachment 2774543

Wanaoshindwa kujisimamia kwenye vijisheria vyao vidogo vidogo wataweza kusimamia Katiba ya Nchi ?
Katibu Mkuu wa UVCCM na makatibu wengine wa CCM ni waajiriwa(wanateuliwa). Sio viongozi wanaotokana na kuchaguliwa. Umri sio Kigezo cha kuzingatia kuteuliwa.
 
Back
Top Bottom