Huyu jamaa anaitwa Kuringe kaingia mjini

Huyu jamaa anaitwa Kuringe kaingia mjini

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Kuna jamaa anaitwa Kuringe, kaingia mjini Dar es Salaam na shoka.
Na ana kata kulia na kushoto akiwanunua watu na viwanja vyao kama hana akili nzuri.

Ukienda wilaya ya Kinondon i utamkuta yupo tele kila mahali.
Mitaa ya Goig Mbezi Beach kanunua mtaa mzima.

Kama utafika Mbezi NSSF road ile RED Hall ni yake.
Ile Kuringe Sports Bar kulekea Baraza la Mitihani haya tena, na hivyo ni baadhi tu ya vitega uchumi na viwanja alivyonunua Kinondoni.

Jina halisi la Kuringe nasikia ni somebody Edward Mushi, kijana mdogo ambaye zimemtembelea.

Nimeona hii clip mahali, nikaona nimpe ushauri wa bure.

Namshauri tu, bwana Kuringe , aste aste brother, taratibu jiji hili la Chalamila, wengi wametajirikia hapa, ila wengi pia wamefilisikia hapa DSM.
Kula na kipofu, gusa mkono wa mwanasiasa wa Kinondoni, ndo utalijua Jiji.

======
Mwekezaji Joanna Chifunda aeleza kuhusu uvamizi wa eneo lake la biashara liliopo Mikocheni kwa Nyerere Jijini Dar es salaam. Inadaiwa kwamba fremu saba katika plot namba 27 zilivunjwa na Watu waliojitambulisha kwamba wametumwa na Kuringe ambaye anadai kwamba amenunua eneo hilo baada ya kuingia makubaliano na kumlipa Mmiliki aitwaye Zacharia Maftah.

Joanna Chifunda anaeleza kwa kirefu zaidi alipofanya mahojiano na Waandishi wa habari siku ya Jumamosi, Oktoba 12, 2024 mbele ya fremu hizo zilizovunjwa.

Abdulmajid Zakaria Maftah ambaye amejitambulisha kama ni mmojawapo wa watoto saba wa mzee Zakaria Maftah akieleza kuhusu uvamizi na mgogoro wa ardhi katika eneo liliopo kwenye plot namba 27, Mikocheni kwa Nyerere Jijini Dar es salaam.
Inadaiwa kwamba fremu saba katika eneo hilo zilivunjwa usiku wa kuamkia Oktoba 12, 2024 na Watu waliojitambulisha kwamba wametumwa na Kuringe ambaye anadai kuwa amenunua eneo hilo baada ya kuingia makubaliano na kumlipa Mmiliki aitwaye Zacharia Maftah.
 
View attachment 3126001
Kuna jamaa anaitwa Kuringe, kaingia mjini DSM na shoka.
Na ana kata kulia na kushoto akiwanunua watu na viwanja vyao kama hana akili nzuri.
Ukienda wilaya ya Kinondoni utamkuta yupo tele kila mahali.
Mitaa ya Goig Mbezi kanunua mtaa mzima.

Kama utafika Mbezi NSSF road ile RED Hall ni yake.
Ile Kuringe Sports Bar kulekea Baraza la Mitihani haya tena.

Jina halisi la Kuringe nasikia ni somebody Edward Mushi, kijana mdogo ambaye zimemtembelea.

Nimeona hii clip mahali, nikaona nimpe ushauri wa bure.

Namshauri tu, bwana Kuringe , aste aste brother, taratibu jiji hili la Chalamila, wengi wametajirikia hapa, ila wengi pia wamefilisikia hapa DSM.
Kula na kipofu, gusa mkono wa mwanasiasa wa Kinondoni, ndo utalijua Jiji.
Sijui walifikiria nini kumtoa jerry slaa kwenye hii wizara, kipindi cha jerry upuuzi kama huu usingekuwepo ni uvamizi huu kama uvamizi mwingine
 
Wizara ya Ardhi ni very sensitive.
Si ajabu kuna watu wa ushawishi walipenyeza fitna.
VEry possible , wote tuliona yule kijana alivyokuwa anapambania haki, leo unamtoa unaacha wanyonge wanafanywa kama watumwa nchini kwao, unaletaje mabaunsa kuja kufanya vurugu ,inakuwa kama nchi haina sheria
 
Huyo
Kuna jamaa anaitwa Kuringe, kaingia mjini Dar es Salaam na shoka. Na ana kata kulia na kushoto akiwanunua watu na viwanja vyao kama hana akili nzuri. Ukienda wilaya ya Kinondoni utamkuta yupo tele kila mahali.
Mitaa ya Goig Mbezi kanunua mtaa mzima.

Kama utafika Mbezi NSSF road ile RED Hall ni yake. Ile Kuringe Sports Bar kulekea Baraza la Mitihani haya tena.

Jina halisi la Kuringe nasikia ni somebody Edward Mushi, kijana mdogo ambaye zimemtembelea.

Nimeona hii clip mahali, nikaona nimpe ushauri wa bure.

Namshauri tu, bwana Kuringe , aste aste brother, taratibu jiji hili la Chalamila, wengi wametajirikia hapa, ila wengi pia wamefilisikia hapa DSM. Kula na kipofu, gusa mkono wa mwanasiasa wa Kinondoni, ndo utalijua Jiji.

======
Mwekezaji Joanna Chifunda aeleza kuhusu uvamizi wa eneo lake la biashara liliopo Mikocheni kwa Nyerere Jijini Dar es salaam. Inadaiwa kwamba fremu saba katika plot namba 27 zilivunjwa na Watu waliojitambulisha kwamba wametumwa na Kuringe ambaye anadai kwamba amenunua eneo hilo baada ya kuingia makubaliano na kumlipa Mmiliki aitwaye Zacharia Maftah.

Joanna Chifunda anaeleza kwa kirefu zaidi alipofanya mahojiano na Waandishi wa habari siku ya Jumamosi, Oktoba 12, 2024 mbele ya fremu hizo zilizovunjwa.

Abdulmajid Zakaria Maftah ambaye amejitambulisha kama ni mmojawapo wa watoto saba wa mzee Zakaria Maftah akieleza kuhusu uvamizi na mgogoro wa ardhi katika eneo liliopo kwenye plot namba 27, Mikocheni kwa Nyerere Jijini Dar es salaam.
Inadaiwa kwamba fremu saba katika eneo hilo zilivunjwa usiku wa kuamkia Oktoba 12, 2024 na Watu waliojitambulisha kwamba wametumwa na Kuringe ambaye anadai kuwa amenunua eneo hilo baada ya kuingia makubaliano na kumlipa Mmiliki aitwaye Zacharia Maftah.

Huyo Kijana ambaye yupo nyuma ya huyo Dada namjua na nimesoma nae ,ngoja nimpie
 
Sijui walifikiria nini kumtoa jerry slaa kwenye hii wizara, kipindi cha jerry upuuzi kama huu usingekuwepo ni uvamizi huu kama uvamizi mwingine
Swala la Jerry linasikitisha sana. Kupitia swala hili utagundua kuwa kwenye hii nchi haupaswi kuwa serious bali muigizaji.
Jerry binafsi limemvuruga kiasi kwamba hajui huko alikopelekwa afanye vp kazi. Ameishia kutulia utadhani labda amepelekwa wizara ya Mkuchika, wizara maalum ofisi ya rais.
 
Swala la Jerry linasikitisha sana. Kupitia swala utagundua kuwa kwenye hii nchi haupaswi kuwa serious bali muigizaji.
Jerry binafsi limemvuruga kiasi kwamba hajui huko alikopelekwa afanye vp kazi. Ameishia kutulia utadhani labda amepelekwa wizara ya Mkuchika, wizara maalum ofisi ya rais.
Very sad kwakweli africa itabaki kuwa africa tu
 
Kutokana na maelezo hapo juu mwenye shida sio Kuringe estate wala Edward Mushi.

Shida ipo kwa Zakaria Maftah kuuza kiwanja chake wakati alishaingia makubaliano na watu wengine. Ilitakiwa kabla ya kuuza awashirikishe hao investors alioingia nao mikataba ya miaka 10.
 
Kutokana na maelezo hapo juu mwenye shida sio Kuringe estate wala Edward Mushi.

Shida ipo kwa Zakaria Maftah kuuza kiwanja chake wakati alishaingia makubaliano na watu wengine. Ilitakiwa kabla ya kuuza awashirikishe hao investors alioingia nao mikataba ya miaka 10.
Tatizo lipo katika kupeleka mabaunsa usiku wa manane, Papaa Msofe style.
 
Back
Top Bottom