Huyu jamaa anaitwa Kuringe kaingia mjini

Huyu jamaa anaitwa Kuringe kaingia mjini

Jeri tapelitapeli nilimdharau zaidi alipoamuru raia akawekwe rumande morogoro. Mtu wa kujikosha sana ila hana kitu
Kuwa mkweli, mpaka kaondolewa Wizara ya aridhi hajasaidia hata mmoja?

Kumdiss mtu ambaye kasaidia watu, ni kutaka kupambana na umma.

Hiyo mikwara uliyosema kufanyika katikati ya shughuli za kupambana na matapeli ina madhara gani?
 
Kutokana na maelezo hapo juu mwenye shida sio Kuringe estate wala Edward Mushi.

Shida ipo kwa Zakaria Maftah kuuza kiwanja chake wakati alishaingia makubaliano na watu wengine. Ilitakiwa kabla ya kuuza awashirikishe hao investors alioingia nao mikataba ya miaka 10.
Nashanga wanamlaumu kuringe

Ova
 
Wanamtengenezea chuki Kuringe wakati mwenye tamaa ni aliyeuza kiwanja.

Kuringe anataka endeleza eneo lake, hayo mengine ilitakiwa aliyeuza kiwanja amalizane na hao watu waliowekeza.
Kama sijakosea huyu mzee maftah alikuwa polisi(rtd)zamani
Huko
Inaonekana kuna shida na aliyewapangisha mwanzo hapo,

Ova
 
Kuna jamaa anaitwa Kuringe, kaingia mjini Dar es Salaam na shoka.
Na ana kata kulia na kushoto akiwanunua watu na viwanja vyao kama hana akili nzuri.

Ukienda wilaya ya Kinondon i utamkuta yupo tele kila mahali.
Mitaa ya Goig Mbezi Beach kanunua mtaa mzima.

Kama utafika Mbezi NSSF road ile RED Hall ni yake.
Ile Kuringe Sports Bar kulekea Baraza la Mitihani haya tena, na hivyo ni baadhi tu ya vitega uchumi na viwanja alivyonunua Kinondoni.

Jina halisi la Kuringe nasikia ni somebody Edward Mushi, kijana mdogo ambaye zimemtembelea.

Nimeona hii clip mahali, nikaona nimpe ushauri wa bure.

Namshauri tu, bwana Kuringe , aste aste brother, taratibu jiji hili la Chalamila, wengi wametajirikia hapa, ila wengi pia wamefilisikia hapa DSM.
Kula na kipofu, gusa mkono wa mwanasiasa wa Kinondoni, ndo utalijua Jiji.

======
Mwekezaji Joanna Chifunda aeleza kuhusu uvamizi wa eneo lake la biashara liliopo Mikocheni kwa Nyerere Jijini Dar es salaam. Inadaiwa kwamba fremu saba katika plot namba 27 zilivunjwa na Watu waliojitambulisha kwamba wametumwa na Kuringe ambaye anadai kwamba amenunua eneo hilo baada ya kuingia makubaliano na kumlipa Mmiliki aitwaye Zacharia Maftah.

Joanna Chifunda anaeleza kwa kirefu zaidi alipofanya mahojiano na Waandishi wa habari siku ya Jumamosi, Oktoba 12, 2024 mbele ya fremu hizo zilizovunjwa.

Abdulmajid Zakaria Maftah ambaye amejitambulisha kama ni mmojawapo wa watoto saba wa mzee Zakaria Maftah akieleza kuhusu uvamizi na mgogoro wa ardhi katika eneo liliopo kwenye plot namba 27, Mikocheni kwa Nyerere Jijini Dar es salaam.
Inadaiwa kwamba fremu saba katika eneo hilo zilivunjwa usiku wa kuamkia Oktoba 12, 2024 na Watu waliojitambulisha kwamba wametumwa na Kuringe ambaye anadai kuwa amenunua eneo hilo baada ya kuingia makubaliano na kumlipa Mmiliki aitwaye Zacharia Maftah.
We kenge kweli. Kuringe we unamjua leo. Mi namjua kuringe akiwa na hela mingi tangu 2000 we umemjua leo. Jamaa yupo kkoo miaka yote na kwasasa anawekeza zaid mitaan na sio mwepesi kiivyo unavyomchukulia. Na kwa taarifa yako kama kuna wachagga 10 wenye hela ndani ya nchi hii jamaa ni mmoja wao sema hutakaa ujue. Very low profile lakini ni wale watu wa kufanya kaz by nature. Biashara yake kubwa ni real estate.
 
We kenge kweli. Kuringe we unamjua leo. Mi namjua kuringe akiwa na hela mingi tangu 2000 we umemjua leo. Jamaa yupo kkoo miaka yote na kwasasa anawekeza zaid mitaan na sio mwepesi kiivyo unavyomchukulia. Na kwa taarifa yako kama kuna wachagga 10 wenye hela ndani ya nchi hii jamaa ni mmoja wao sema hutakaa ujue. Very low profile lakini ni wale watu wa kufanya kaz by nature. Biashara yake kubwa ni real estate.
Mie mamba kabisa wa nyongo kali, kama unamjua fika huyo Kuringe, basi mshauri tu, asije kula na kipofu akamgusa mkono.
Ushauri wa bure!
 
Kule Mapinga bagamoyo kuna mzee aliwahi leta pigo za kutaka kuvamia viwanja atoe watu ,sijui walimfanya nini ila ile stroke sijawahi kuiona dunia hii kwa umri wangu yani kiuno kilienda kushoto,kichwa kulia mabega yakaenda mbele ulimi ukatoka nje macho kodo dah wanae kuona hivyo nduki kali na alichobugi hakuwa na vithibiti vyovyote alikua anataka asumbue watu tu
 
Tatizo lipo kwa mwenye eneo na mpangaji wake wa muda mrefu wa miaka kumi.

Mwenye eneo kaingia tamaa akauza ndani ya mkataba.

Alitakiwa aongee na mpangaji wake ili amuongezee kodi.

Hii inasumbua, dada yetu mmoja aliwahi ingia mkataba wa hivyo, akajenga hotel kubwa ya kitalii kwenye njia ya kwenda mlima Kilimanjaro, elewa dada yetu huyo alikopa dollar huko ng'ambo.

Mwenye nyumba kuona pamenoga, akamwambia sitaki hii nyumba hapa, was very shocked.

Mengine yanaumiza, anyways.
 
Tatizo lipo kwa mwenye eneo na mpangaji wake wa muda mrefu wa miaka kumi.

Mwenye eneo kaingia tamaa akauza ndani ya mkataba.

Alitakiwa aongee na mpangaji wake ili amuongezee kodi.

Hii inasumbua, dada yetu mmoja aliwahi ingia mkataba wa hivyo, akajenga hotel kubwa ya kitalii kwenye njia ya kwenda mlima Kilimanjaro, elewa dada yetu huyo alikopa dollar huko ng'ambo.

Mwenye nyumba kuona pamenoga, akamwambia sitaki hii nyumba hapa, was very shocked.

Mengine yanaumiza, anyways.
Ilikuja kuishaje?
 
Back
Top Bottom