Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Hawana tofauti na majambazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunaonekana kulikua na mpango mchafu juu yake ndiyo maana Mama kamuwai na kwenda kumficha huko Tcra ili manyangau yasimzulu, ila naamini hali ikisha kaa sawa Mama atamrudisha Aridhi!!Naona walimtuliza, ila mtu anaepambania haki za wanyonge kwa nchi masikini hawezi kaa
Mungu mwema, bado anaishi maana watu wana tamaa sana
Huyo jamaa ni wa kitambo sana kwenye figisu za Ardhi sema watu kama hawa wanapenda sana watu wasiokua na nguvu wao wanafanya chochote ukiingia kwenye miguu ya huyo mzala hautoki hata mahakamani ana nguvu za chini chini kama jeshi la China niliwahi kushuhudia mtu akiamishwa kwa nguvu kwenye eneo ambalo walikua na kesi nae na baadae akaja kushinda huyo Kuringe kwa nguvu za fedha vurugu nyingi alifanya 2006 mpaka 2014..Huyu Edward M. Maarufu kama kuringe 3/4 ya ardhi nzuri na viwanja vya barabarani kanunua yeye hapa dsm.
Mikocheni lile ghorofa pale lenye ATM za crdb alinunua bila sheria kufuatwa jerry slaa alikuja kumrudishia mwenye kiwanja eneo lake.
Palemikocheni jued kwenye maduka mengi na baa ndani ya.kishua alipanunua kwa document fake mwenye eneo karudishiwa na jerry.slaa ni mstaafu wa UN world health orgz.
He is real estate mafia. Akipenda eneo huwa ananunua mkishindwana atakuja.kukushinda mahakamani.
Makonde.mbezi.beach ma hall yote.ya.harusi ni.ya.kwake. Kona baa kanunua kwa.figisu za mikopo ya.aliyekuwa akimiliki kudaiwa na benki.
Ana njia.anazotumia kupaka grisi mikono ya wanaohusika na.kesi.zake
Huyu mtu.ambaye angemuweza ni jerry slaa. Ila kwa sasa.hakuna.anayemuweza
Huyu Mzee Mushi si ndiyo yule Jerry Silaa alimpelekea moto wa fire kipindi kile clinic za Aridhi ziaanza!? Au huyu ni Mushi mwingine!?Worst case scenario huyu mushi ni former land officer yaani alikuwa kwenye utumishi wa.umma.
Anaweza hata akachomoa bastola hadharani. Mangi huyu ameacha vilio vingi.sana kwenye familia za watu.
Kuringe naona kule club oasis hajapastukia mapema kazidiwa.kete na.bilionea Kitenge. Kitenge anataka kumaliza mtaa wote.aununue. Wapi said.kiungani
Hapa napenda kumnukuu Dr Azaveli Rwaitama aliposema.juzi mambo mengine yanahitaji common sense sio mpaka waziri akuwajibishe imediate bosi wako achukue hatua haraka za kumwajibisha mhusikaYaani;
1.Kesi iko mahakamani, na kuna zuio
2.Taarifa zimefika kwa mkuu wa wilaya (mwenyekiti wa usalama),
3.Taarifa pia imetolewa huko polisi.
Na bado kuna mtu/watu wana nguvu ya kuja kuvunja na kuharibu mali za wengine!
Hivi interejensia ya jeshi haiwezi kufanya kazi hapa? au ni kwa chadema na viongozi wake?
Kwamba mpaka sasa tayari walio husika na uvunjaji wawe wamepatika na kukamatwa.
Kwamba raia hawana msaada wowote, mpaka wahitaji msaada wa mama!!
Yaani mushi mpenda ardhi za watu ndio huyohuyo mmoja tuuHuyu Mzee Mushi si ndiyo yule Jerry Silaa alimpelekea moto wa fire kipindi kile clinic za Aridhi ziaanza!? Au huyu ni Mushi mwingine!?
Matapeli ya Aridhi naona yanarudi kwa kasi sana kwenye game! Mama Samia Suluhu Hassan pls bring back Jerry Silaa kama itakupendeza Rais wangu!!Hatimae kina mushi tumechomoa betri tena[emoji16][emoji16][emoji16]
Billionea Kitenge? Kitenge huyu wa wasafi fm?Worst case scenario huyu mushi ni former land officer yaani alikuwa kwenye utumishi wa.umma.
Anaweza hata akachomoa bastola hadharani. Mangi huyu ameacha vilio vingi.sana kwenye familia za watu.
Kuringe naona kule club oasis hajapastukia mapema kazidiwa.kete na.bilionea Kitenge. Kitenge anataka kumaliza mtaa wote.aununue. Wapi said.kiungani
Kuna watu wana sio binadamu kabisa bali mashetaniKunaonekana kulikua na mpango mchafu juu yake ndiyo maana Mama kamuwai na kwenda kumficha huko Tcra ili manyangau yasimzulu, ila naamini hali ikisha kaa sawa Mama atamrudisha Aridhi!!
Asee nimeshangaa Royal Skyline Motel ya Makonde Kuringe kamvua mtu, yule mzee mchagga naona kaenda kufungua sheli mapinga, huenda alipata hela nzuri paleHuyu Edward M. Maarufu kama kuringe 3/4 ya ardhi nzuri na viwanja vya barabarani kanunua yeye hapa dsm.
Mikocheni lile ghorofa pale lenye ATM za crdb alinunua bila sheria kufuatwa jerry slaa alikuja kumrudishia mwenye kiwanja eneo lake.
Palemikocheni jued kwenye maduka mengi na baa ndani ya.kishua alipanunua kwa document fake mwenye eneo karudishiwa na jerry.slaa ni mstaafu wa UN world health orgz.
He is real estate mafia. Akipenda eneo huwa ananunua mkishindwana atakuja.kukushinda mahakamani.
Makonde.mbezi.beach ma hall yote.ya.harusi ni.ya.kwake. Kona baa kanunua kwa.figisu za mikopo ya.aliyekuwa akimiliki kudaiwa na benki.
Ana njia.anazotumia kupaka grisi mikono ya wanaohusika na.kesi.zake
Huyu mtu.ambaye angemuweza ni jerry slaa. Ila kwa sasa.hakuna.anayemuweza
Kuringe balaa!Asee nimeshangaa Royal Skyline Motel ya Makonde Kuringe kamvua mtu, yule mzee mchagga naona kaenda kufungua sheli mapinga, huenda alipata hela nzuri pale