BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,122
- 4,060
...Una Hakika? Na Michael Jackson alipoimba kuhusu 'That Nine to Five Job' ( Saa Tatu Hadi Saa Kumi a Moja) Alikuwa anamaanisha Nini?Africa mfanyakazi anafanya kazi Massa 8 mpaka 10 na waajiri wengine lile lisaa LA break hawahesabu sasa kule wenzetu Massa ya kazi ni 4 mpaka 6 ndio maana nikasema huyu jamaa ni muafricanisty pure...