Nahisi kwa zone yetu hii ni ngumu kidogo coz sheria ya mikataba bado haieleweki vizuri na wasanii wenyewe kuna kipindi DJ Choka aliwahi kujaribu lakini akaishia njianiHuyu jamaa huwa anaweka "vionjo" vitamu sana kwenye nyimbo, sijui kwanini asifanye kama DJ KHALID ??
Ameshiriki nyimbo nyingi tu kuimba, mfanoMkuu me nimenza kufuatilia long sana tangu enzi za KU CREW ila kutomjua mtu ambaye haimbi sio kosa
[emoji23] [emoji23] we jamaa mkorofiAlbamu ya kwanza ya Mr.II inaitwaje? Na amerekodia studio ipi?Ukipatia hapo nitakubali kwamba we umeanza kufuatilia bongo fleva kitambo
Ungeanza enzi hizo ungewafahamu na Kalamashaka na ungeanzia huko usingeuliza Ambrose ni nanMkuu me nimenza kufuatilia long sana tangu enzi za KU CREW ila kutomjua mtu ambaye haimbi sio kosa
True, Lamar before ajaenda 41 rec, alitokea kwa Majani bongo rec ila 41 ndo iliyomfanya ashineKama Wewe Ni Muhenga Kweli Unakosaje Kumjua DUNGA kutoka MANDUGU DIGITAL nayeye ndiye aliyemfundisha uproducer RAMAR from FISH CRAB
Dunga afanane na huyu🙁🙁🙁Huyu jamaa ni nani anayeuza sura karibu kila video lazima atokee???
Nakumbuka tangu miaka ya mwanzoni ya 2000s huwa anatokea karibu nyimbo zote zilizohit kwa wakati huo na sikuwahi kujiuliza ni nani ila nilifanya mazoea tu kumuona kila hit track enzi hizo
Me namfananisha na Harmorapa nikijua naye huwa anatafuta kiki tu🙂🙂🙂🙂
Sasa hata miaka hii katika nyimbo ya chege nayo katokea
View attachment 563236
View attachment 563240
View attachment 563251
Wanaomjua watuambie huyu jamaa ni nani hasa?
Yaani sauti lake linaingiza vionjo nyimbo inakuwa nzuri balaa,ambrose dunga..[emoji7]Huyu jamaa huwa anaweka "vionjo" vitamu sana kwenye nyimbo, sijui kwanini asifanye kama DJ KHALID ??
Ni kweli kabisa B HitsHabari Ndio hiyo. Amefanya Hermy B.
Kama sijakosea
Hili jibu kibokoKama umeanza kufuatilia Bongo fleva baada ya Domo huwezi kumjua, ila kwa sisi Wahenga tunamfahamu kama PRODUCER DUNGA
Binafsi huwa namkubali sana, hasa alipomalizia mwisho mwisho pale kwenye video ya Matonya - Anitha
Mi si MKOROFI ila nataka athibitishe uhenga wake kwenye Bongo Fleva, maana sisi kipindi tunaufuatilia ulikuwa unaitwa muziki wa KIHUNI[emoji23] [emoji23] we jamaa mkorofi
Ongezea na Wimbo wa,TAFUTA NYIMBO HIZI ILI UMJUE
NAKAAYA - MR PRESIDENT
NGWAIR FT DARK MASTER NIPENI DILI MASELA
LANGA - MATAWI YA JUU
AY & FA - HABARI NDO HIYO
JOAH MAKINI - CHOCHOTE POPOTE
MWISHO: ENZU HUYU JAMAA ALIKUWA PRODUCER MKALI SANA KABLA YAKUWA MANDUGU DIGITAL AMESHAWAIKUWA KATIKA STUDIO YA KAMA KAWA RECORD
hizo nyimbo kasearch waptrick.comTAFUTA NYIMBO HIZI ILI UMJUE
NAKAAYA - MR PRESIDENT
NGWAIR FT DARK MASTER NIPENI DILI MASELA
LANGA - MATAWI YA JUU
AY & FA - HABARI NDO HIYO
JOAH MAKINI - CHOCHOTE POPOTE
MWISHO: ENZU HUYU JAMAA ALIKUWA PRODUCER MKALI SANA KABLA YAKUWA MANDUGU DIGITAL AMESHAWAIKUWA KATIKA STUDIO YA KAMA KAWA RECORD