Huyu jamaa ni nani anayeuza sura karibu kila video lazima atokee

Mi si MKOROFI ila nataka athibitishe uhenga wake kwenye Bongo Fleva, maana sisi kipindi tunaufuatilia ulikuwa unaitwa muziki wa KIHUNI
Ni enzi za Diplomatz ama za Kwanza Unit (Kwanzanians)?
 
Hili swali limejibiwa kiuhalisia zaidi.....na wachangiaji....labda mwanzisha Uzi huu tunaomba sababu za kimantiki kutaka tumtambue dunga kuwa Ni nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunga alitoa hit song moja na naakaya Mr politician

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukijaribu kupitia maoni ya watu utaona wanasema nyimbo ya nakaaya ni mr president sasa najiuliza mr president au mr politician?? au nakaaya katoa nyimbo mpya?? hawa wahenga wa JF mzaha sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


tembajr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunga wa mandugu Dig, bonge la producer

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 


Huyu si baba yake Ally Kiba enzi zile, mdingi katoka mbali sana na sasa kawaachia mzigo wanawe japo mmoja ni fake.
 
Shida ya mtoa mada ameonesha kumpondea huku anahitaji ufafanuzi. Binafsi kumsema dunga anatafuta Kiki na kumfananisha na HRapa haja mtendea haki.
Amwombe msamaa au utuombe msamaha wadau wa bongo freva.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…