Huyu Jenista Mhagama kuondoka Utumishi ilikuwa suala la muda tu!

Huyu Jenista Mhagama kuondoka Utumishi ilikuwa suala la muda tu!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Huyu mama amakuwa katika Cabinet muda sasa. Lakini wizara ambazo ameziongoza ni zile ambazo haziko mainstream, yaani hazitajwi siku hadi siku.

Lakini nilipoona uteuzi wa ma DC unakataliwa na wateule, na hivyo kumuaibisha sana mheshimiwa Rais Samia, nikajua kuna tatizo na mchakato na mamlaka za uteuzi.

Ilikuwa aibu tosha kwa Rais, anapomteua mtu, halafu mteule anasema "No Thanks"

Mchakato wa teuzi za viongozi waandamizi nchini inahusisha vyombo vingi vya uchunguzi, pamoja na kumhusisha mteule kama ataiweza kazi anayopewa.

Kwa wenzetu nchi zilizoendelea wanaenda hatua zaidi kwa wateule kuhojiwa na bunge au kamati zake.

Sasa lile sakata la wateule kukataa teuzi nikajiuliza huyu mama Jenista Mhagama , anaiweza kweli kazi aliyopewa?
 
Huyu mama amakuwa katika Cabinet muda sasa.
Lakini wizara ambazo ameziongoza ni zile ambazo haziko mainstream, yaani hazitajwi siku hadi siku.

Lakini nilipoona uteuzi wa ma DC unakataliwa na wateule, na hivyo kumuaibisha sana mheshimiwa Rais Samia, nikajua kuna tatizo na mchakato na mamlaka za uteuzi.

Ilikuwa sibu tosha kwa Rais, anapomteua mtu, halafu mteule anasema "No Thanks"

Mchakato wa teuzi za viongozi waandamizi nchini inahusisha vyombo vingi vya uchunguzi, pamoja na kumhusisha mteule kama ataiweza kazi anayopewa.

Kwa wenzetu nchi zilizoendeleawanaenda hatua zaidi kwa wateule kuhojiwa na bunge au kamati zake.

Sasa lile sakata la wateule kukataa teuzi nikajiuliza huyu mama Jenista Mhagama , anaiweza kweli kazi aliyopewa?
Sasa hapo Jenister angefanyaje? Ulitaka awashikie panga wakubali? Kama Jenister katolewa utumishi kwa sababu uliyoitaja vipi waziri wa tamisemi ambaye wakuu wa wilaya wapo chini take anabakizwa? Na vipi una uhakika kama Jenister alihusishwa kwenye uteuzi wao au naye aliona majina mitandaoni kama sisi?
 
Umbea ndo wenyewe, bibie siyo siri, kazi hawezi ni jinsia tu inambeba.
Utateuaje watu halafu wakatae uteuzi?
Kama hulielewi hilo basi upeo wako wa maono si zaidi ya pua yako.
Huyo ni moja wa vihiyo wanaoiharibu nchi. Siku wàteule watamgundua watajilaumu. Kwa elimu yake na uelewa wa mambo ni mdogo. Nahisi ana kitu cha kificho kinachombeba na wakubwa wanakiamini na siyo uchapakazi!!
Umbea ndo wenyewe, bibie siyo siri, kazi hawezi ni jinsia tu inambeba.
Utateuaje watu halafu wakatae uteuzi?
Kama hulielewi hilo basi upeo wako wa maono si zaidi ya pua yako.
 
Huyu mama amakuwa katika Cabinet muda sasa. Lakini wizara ambazo ameziongoza ni zile ambazo haziko mainstream, yaani hazitajwi siku hadi siku.

Lakini nilipoona uteuzi wa ma DC unakataliwa na wateule, na hivyo kumuaibisha sana mheshimiwa Rais Samia, nikajua kuna tatizo na mchakato na mamlaka za uteuzi.

Ilikuwa sibu tosha kwa Rais, anapomteua mtu, halafu mteule anasema "No Thanks"

Mchakato wa teuzi za viongozi waandamizi nchini inahusisha vyombo vingi vya uchunguzi, pamoja na kumhusisha mteule kama ataiweza kazi anayopewa.

Kwa wenzetu nchi zilizoendeleawanaenda hatua zaidi kwa wateule kuhojiwa na bunge au kamati zake.

Sasa lile sakata la wateule kukataa teuzi nikajiuliza huyu mama Jenista Mhagama , anaiweza kweli kazi aliyopewa?
Yaani CCM mna laana si mchezo... masaa yote mnawaza teuzi na kula kula tuuu!!
 
Sasa hapo Jenister angefanyaje? Ulitaka awashikie panga wakubali? Kama Jenister katolewa utumishi kwa sababu uliyoitaja vipi waziri wa tamisemi ambaye wakuu wa wilaya wapo chini take anabakizwa? Na vipi una uhakika kama Jenister alihusishwa kwenye uteuzi wao au naye aliona majina mitandaoni kama sisi?
Mkuu weye laiszes-faire kwa sana tu!
 
Sasa hapo Jenister angefanyaje? Ulitaka awashikie panga wakubali? Kama Jenister katolewa utumishi kwa sababu uliyoitaja vipi waziri wa tamisemi ambaye wakuu wa wilaya wapo chini take anabakizwa? Na vipi una uhakika kama Jenister alihusishwa kwenye uteuzi wao au naye aliona majina mitandaoni kama sisi?
Kawaida wateuliwa huulizwa kama wanaitaka kazi kabla ya kutangazwa.

Tanzania inaonekana watu wanabambikwa kazi bila hata kuulizwa kama wanaitaka, wakitegemewa wafurahi tu kwa sababu ni uteuzi wa rais. Hili ni jambo la kijinga sana na moja ya sababu utendaji unakuwa na matatizo, mtu anapewa kazi ambayo hata hakuiomba na pengine haijui.

Na katika zama hizi ambapo wengine wana taaluma zao na biashara zao, ukimbambika mtu kazi ambayo iko nje ya malengo yake matokeo yake ndiyo unapata hayo majibu ya "No, thanks".

Rais anaaibika.
 
Kawaida wateuliwa huulizwa kama wanaitaka kazi kabla ya kutangazwa.

Tanzania inaonekana watu wanabambikwa kazi bila hata kuulizwa kama wanaitaka, wakitegemewa wafurahi tu kwa sababu ni uteuzi wa rais. Hili ni jambo la kijinga sana na moja ya sababu utendaji unakuwa na matatizo, mtu anapewa kazi ambayo hata hakuiomba na pengine haijui.

Na katika zama hizi ambapo wengine wana taaluma zao na biashara zao, ukimbambika mtu kazi ambayo iko nje ya malengo yake matokeo yake ndiyo unapata hayo majibu ya "No, thanks".

Rais anaaibika.
Mkuu naona umelidadavua vizuri sana.
Halafu watu wanajitia hawaelewi.
 
Kawaida wateuliwa huulizwa kama wanaitaka kazi kabla ya kutangazwa.

Tanzania inaonekana watu wanabambikwa kazi bila hata kuulizwa kama wanaitaka, wakitegemewa wafurahi tu kwa sababu ni uteuzi wa rais. Hili ni jambo la kijinga sana na moja ya sababu utendaji unakuwa na matatizo, mtu anapewa kazi ambayo hata hakuiomba na pengine haijui.

Na katika zama hizi ambapo wengine wana taaluma zao na biashara zao, ukimbambika mtu kazi ambayo iko nje ya malengo yake matokeo yake ndiyo unapata hayo majibu ya "No, thanks".

Rais anaaibika.
[emoji23][emoji23] kubambika[emoji23][emoji23]

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
 
Kawaida wateuliwa huulizwa kama wanaitaka kazi kabla ya kutangazwa.

Tanzania inaonekana watu wanabambikwa kazi bila hata kuulizwa kama wanaitaka, wakitegemewa wafurahi tu kwa sababu ni uteuzi wa rais. Hili ni jambo la kijinga sana na moja ya sababu utendaji unakuwa na matatizo, mtu anapewa kazi ambayo hata hakuiomba na pengine haijui.

Na katika zama hizi ambapo wengine wana taaluma zao na biashara zao, ukimbambika mtu kazi ambayo iko nje ya malengo yake matokeo yake ndiyo unapata hayo majibu ya "No, thanks".

Rais anaaibika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli
 
Back
Top Bottom