Huyu jirani yangu kiboko!!!

Huyu jirani yangu kiboko!!!

Eti??

Au ndo huyu???

soula.jpg
Huyu jamaa sijui kama vijana wamjini watamuacha salama wasimle
 
jirani naona umeamua uje kunianika humu ulidhani sipo jf lakin nipo na nimekua nikisia kutoka kwa watu mbalimbali ukiwatangazia nikilewa nakupigia makelele sikiliza jirani nikilewa natumia pesa zangu sio zako ile ni starehe yangu huwez kunitenganisha nayo kama uwezi kukaa karibu na mimi hama au kuwa mlevi na wewe ikishibdikana weka pamba masikioni hili ni onyo nikusikie tena unaniongelea nitakuja kunya hapo mlangoni kwako...
 
Nna jamaa yangu baba mwenyenyumba wake ndo ana tabia za jirani yako
 
jirani naona umeamua uje kunianika humu ulidhani sipo jf lakin nipo na nimekua nikisia kutoka kwa watu mbalimbali ukiwatangazia nikilewa nakupigia makelele sikiliza jirani nikilewa natumia pesa zangu sio zako ile ni starehe yangu huwez kunitenganisha nayo kama uwezi kukaa karibu na mimi hama au kuwa mlevi na wewe ikishibdikana weka pamba masikioni hili ni onyo nikusikie tena unaniongelea nitakuja kunya hapo mlangoni kwako...
Kero!karaha.
 
Back
Top Bottom