Huyu jirani yangu sasa nimemvumlia vya kutosha

Huyu jirani yangu sasa nimemvumlia vya kutosha

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Habari Wana JF?

Kiufupi mimi ni baba wa familia, nimejaliwa mtoto mmoja. Twende moja kwa moja kwenye mada.

Nyumba ninayoishi nimepanga wapangaji tupo wanne hakuna bachela, sasa kimbembe kuna huyu jirani yangu mmoja mke wa mtu, kaolewa ni mke wa pili kwa mshikaji jamaa noti anazo.

Toka nimeamia hapa nina mwaka wa tatu sasa, jirani yangu ananitaka jambo ajanitamkia mitego anayonifanyia ni ishara tosha kuwa anataka dudu, yupo vizuri kaumbika haswa mwenyewe mate yananitoka.

Naipenda familia yangu sitaki kuiharibu, huyu manzi mke wa mtu, najiwazia tu sasa nikimla wife akijua si ndio mwanzo wa mafarakano? Mume wake naye akijua? Na tunaheshimia sana.

Sasaaivi huyu jirani yangu amekuja na mbinu mpya baada ya ile ya kwanza kufeli, anajua kuwa nampenda sana mtoto wangu, na yeye ameamua kupitia kwa mtoto, akijua tu kuwa nipo nyumbani mapenzi kama yote kwa mtoto, baba yuko wapi anafanya nini mbona umechafuka hivi njoo nikuogeshe 🤣🤣.

Sasa mabaharia uvumilivu umenishinda namla huyu na nyumba nahama.
 
Usiache kuleta mrejesho ulivyokula kimasihara, au ulivyokua trapped mazima ukashindwa kutoka
 
Kama sikosei huyo mwanamke atakuwa anatoka mkoa fulani wa Kanda ya ziwa!
 
.
Watermark_1643529792850.jpg
 
Habari Wana jf?

Kiufupi mimi ni baba wa familia, nimejaliwa mtoto mmoja. Twende moja kwa moja kwenye mada.

Nyumba ninayoishi nimepanga wapangaji tupo wanne hakuna bachela, sasa kimbembe kuna huyu jirani yangu mmoja mke wa mtu, kaolewa ni mke wa pili kwa mshikaji jamaa noti anazo.

Toka nimeamia hapa nina mwaka wa tatu sasa, jirani yangu ananitaka jambo ajanutamkia mitego anayonifanyia ni ishara tosha kuwa anataka dudu, yupo vizuri kaumbika haswa mwenyewe mate yananitoka.

Naipenda familia yangu sitaki kuiharibu, huyu manzi mke wa mtu, najiwazia tu sasa nikimla wife akijua si ndio mwanzo wa mafarakano? Mume wake naye akijua? Na tunaheshimia sana.

Sasaaivi huyu jirani yangu amekuja na mbinu mpya baada ya ile ya kwanza kufeli, anajua kuwa nampenda sana mtoto wangu, na yeye ameamua kupitia kwa mtoto, akijua tu kuwa nipo nyumbani mapenzi kama yote kwa mtoto, baba yuko wapi anafanya nini mbona umechafuka hivi njoo nikuogeshe 🤣🤣.

Sasa mabaharia uvumilivu umenushinda namla huyu na nyumba nahama.
Mbona wanawake ambao wako free ni wengi sana?

Muosha huoshwa, kula na wako aliwe.
 
 
Back
Top Bottom