Huyu jirani yangu sasa nimemvumlia vya kutosha

Huyu jirani yangu sasa nimemvumlia vya kutosha

Ukiwa unajua hujajenga usioe..! Nyumba za kupanga sio poa Kama una familia .
Mme wa huyo mwanamke Kama ana noti anaweza kuwaoa wewe na mke wako bila kusahau mtoto wako pia please don't try this at Home.

Sorry wakuu nko napata maji ya mende apa
 
Kila la kheri kwenye kupakwa mafuta kunako mnduku wako..
 
Nafikiri linakwenda kutimia.
 
Huwezi kujenga yako abadan we endelea kutamani wake za watu!
 
Habari Wana jf?

Kiufupi mimi ni baba wa familia, nimejaliwa mtoto mmoja. Twende moja kwa moja kwenye mada.

Nyumba ninayoishi nimepanga wapangaji tupo wanne hakuna bachela, sasa kimbembe kuna huyu jirani yangu mmoja mke wa mtu, kaolewa ni mke wa pili kwa mshikaji jamaa noti anazo.

Toka nimeamia hapa nina mwaka wa tatu sasa, jirani yangu ananitaka jambo ajanutamkia mitego anayonifanyia ni ishara tosha kuwa anataka dudu, yupo vizuri kaumbika haswa mwenyewe mate yananitoka.

Naipenda familia yangu sitaki kuiharibu, huyu manzi mke wa mtu, najiwazia tu sasa nikimla wife akijua si ndio mwanzo wa mafarakano? Mume wake naye akijua? Na tunaheshimia sana.

Sasaaivi huyu jirani yangu amekuja na mbinu mpya baada ya ile ya kwanza kufeli, anajua kuwa nampenda sana mtoto wangu, na yeye ameamua kupitia kwa mtoto, akijua tu kuwa nipo nyumbani mapenzi kama yote kwa mtoto, baba yuko wapi anafanya nini mbona umechafuka hivi njoo nikuogeshe 🤣🤣.

Sasa mabaharia uvumilivu umenushinda namla huyu na nyumba nahama.
Mle mle mle na ulete mrejesho hapa.

Unaweza usimle wambea wakakusagia kunguni kwa mkeo akakasirika pia unaweza kumla na asjue wala kuambiwa na wambea na ukainnjoi tu. Kula!
 
Mtafutie nauli mkeo mwambie aende kijini akasalimie wazee.
 
Aiseee kumbe ndo huyu huyu wa kidato cha nne duuuh ila kweli Chai zimekuwa nyingi sanaaaaa
Huwa siingiagi hili jukwaa siku hizi likejaa watoto wengi, limeshapoteza manufaa yaliyokuwaga humu siku za nyuma.

Naona wale wengi walifanya MMU iwe place to be wametingwa na majukumu ya kimaisha, na yule Maria Sarungi yeye kazi yake kubwa sasa hivi ni kushutumu serikali tu kwa jambo lolote, lakini alikuwa yuko vizuri sana humu.
 
Back
Top Bottom