Huyu jirani yangu sasa nimemvumlia vya kutosha

Huyu jirani yangu sasa nimemvumlia vya kutosha

Huwa siingiagi hili jukwaa siku hizi likejaa watoto wengi, limeshapoteza manufaa yaliyokuwaga humu siku za nyuma.

Naona wale wengi walifanya MMU iwe place to be wametingwa na majukumu ya kimaisha, na yule Maria Sarungi yeye kazi yake kubwa sasa hivi ni kushutumu serikali tu kwa jambo lolote, lakini alikuwa yuko vizuri sana humu.
 
Usikute hata huyo jamaa mwenye mke nae anamtamani ila ameamua kumpa dili mke wake ajilengeshe jamaa akiingia king apate kumpumulia"
 
Huwa siingiagi hili jukwaa siku hizi likejaa watoto wengi, limeshapoteza manufaa yaliyokuwaga humu siku za nyuma.

Kiukweli kuna utoto mwingi sana na kundi kubwa la wavulana wanaolia lia kuumizwa na watu wanaowaita 'wake zao'...
 
Wapangaji wasiokuwa bize ni sawa na wavaa dera kwenye mikeka.
 
Kumbe bado mvulana na anakula ugali wa danadana 😁😁
 
Utaleta majanga mawili, mme wake na mke wako. Epuka na asikuzoee.
 
Habari Wana jf?

Kiufupi mimi ni baba wa familia, nimejaliwa mtoto mmoja. Twende moja kwa moja kwenye mada.

Nyumba ninayoishi nimepanga wapangaji tupo wanne hakuna bachela, sasa kimbembe kuna huyu jirani yangu mmoja mke wa mtu, kaolewa ni mke wa pili kwa mshikaji jamaa noti anazo.

Toka nimeamia hapa nina mwaka wa tatu sasa, jirani yangu ananitaka jambo ajanutamkia mitego anayonifanyia ni ishara tosha kuwa anataka dudu, yupo vizuri kaumbika haswa mwenyewe mate yananitoka.

Naipenda familia yangu sitaki kuiharibu, huyu manzi mke wa mtu, najiwazia tu sasa nikimla wife akijua si ndio mwanzo wa mafarakano? Mume wake naye akijua? Na tunaheshimia sana.

Sasaaivi huyu jirani yangu amekuja na mbinu mpya baada ya ile ya kwanza kufeli, anajua kuwa nampenda sana mtoto wangu, na yeye ameamua kupitia kwa mtoto, akijua tu kuwa nipo nyumbani mapenzi kama yote kwa mtoto, baba yuko wapi anafanya nini mbona umechafuka hivi njoo nikuogeshe [emoji1787][emoji1787].

Sasa mabaharia uvumilivu umenushinda namla huyu na nyumba nahama.
Fukuza Hilo pepo

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Habari Wana jf?

Kiufupi mimi ni baba wa familia, nimejaliwa mtoto mmoja. Twende moja kwa moja kwenye mada.

Nyumba ninayoishi nimepanga wapangaji tupo wanne hakuna bachela, sasa kimbembe kuna huyu jirani yangu mmoja mke wa mtu, kaolewa ni mke wa pili kwa mshikaji jamaa noti anazo.

Toka nimeamia hapa nina mwaka wa tatu sasa, jirani yangu ananitaka jambo ajanutamkia mitego anayonifanyia ni ishara tosha kuwa anataka dudu, yupo vizuri kaumbika haswa mwenyewe mate yananitoka.

Naipenda familia yangu sitaki kuiharibu, huyu manzi mke wa mtu, najiwazia tu sasa nikimla wife akijua si ndio mwanzo wa mafarakano? Mume wake naye akijua? Na tunaheshimia sana.

Sasaaivi huyu jirani yangu amekuja na mbinu mpya baada ya ile ya kwanza kufeli, anajua kuwa nampenda sana mtoto wangu, na yeye ameamua kupitia kwa mtoto, akijua tu kuwa nipo nyumbani mapenzi kama yote kwa mtoto, baba yuko wapi anafanya nini mbona umechafuka hivi njoo nikuogeshe 🤣🤣.

Sasa mabaharia uvumilivu umenushinda namla huyu na nyumba nahama.
Ushauri wangu, mchakate.
Vinginevyo utasababisha dharau kwa mabaharia.
 
Habari Wana jf?

Kiufupi mimi ni baba wa familia, nimejaliwa mtoto mmoja. Twende moja kwa moja kwenye mada.

Nyumba ninayoishi nimepanga wapangaji tupo wanne hakuna bachela, sasa kimbembe kuna huyu jirani yangu mmoja mke wa mtu, kaolewa ni mke wa pili kwa mshikaji jamaa noti anazo.

Toka nimeamia hapa nina mwaka wa tatu sasa, jirani yangu ananitaka jambo ajanutamkia mitego anayonifanyia ni ishara tosha kuwa anataka dudu, yupo vizuri kaumbika haswa mwenyewe mate yananitoka.

Naipenda familia yangu sitaki kuiharibu, huyu manzi mke wa mtu, najiwazia tu sasa nikimla wife akijua si ndio mwanzo wa mafarakano? Mume wake naye akijua? Na tunaheshimia sana.

Sasaaivi huyu jirani yangu amekuja na mbinu mpya baada ya ile ya kwanza kufeli, anajua kuwa nampenda sana mtoto wangu, na yeye ameamua kupitia kwa mtoto, akijua tu kuwa nipo nyumbani mapenzi kama yote kwa mtoto, baba yuko wapi anafanya nini mbona umechafuka hivi njoo nikuogeshe 🤣🤣.

Sasa mabaharia uvumilivu umenushinda namla huyu na nyumba nahama.
The falcon cannot hear the falconer; Things fall apart
 
Nakazia point ya mdau mmoja: Achana na mawazo haya. Tafuta hela kwa bidii ukajenge kwako.

Huyo mpangaji mwenzio ambae unataka kutuaminisha kwamba mumewe noti anazo atakufilisi tu na labda kukupa magonjwa
 
Hili jukwaa limejaa utoto mwingi Sana siku hizi hili sio jambo la kuomba Ushauri na ukajiita Great thinker.
 
Kazi kwenu wachepukaji...
Screenshot_20220130-154515_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom