Huyu Kamanda wa Jeshi anatukera sana wakazi wa Mbezi

Huyu afande kwanza anachelewa kazini, anapitaga tangi bovu around saa 1. Askari wale mbwembwe nyingi. Mara nyingi wanakuwa wrong lane na wanasababisha foleni upande ule unnecessarily

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cheo chake ni Chief of Staff, ni cheo cha pili kutoka brigedia general...kama ukifuatilia zaidi unaweza kulipata jina lake mahali fulani naamini
Sasa chief of staff ambaye hajali wenzake barabarani sijui anawajali vipi staff wake huko jeshini, alitakiwa awe mfano wa kuigwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani amekuambia kuzoea kwako kwa muda mrefu ndiyo sheria?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu afande kwanza anachelewa kazini, anapitaga tangi bovu around saa 1. Askari wale mbwembwe nyingi. Mara nyingi wanakuwa wrong lane na wanasababisha foleni upande ule unnecessarily

Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali wewe unanielewa vyema ninachozungumzia Ndugu Yodoki!...nimeshuhudia wakimkalipia mama wa watu aliyekuwa kapigwa na bumbuwazi kuona wanatokea ghafla mbele yake wakimuelekea toka upande anapokwenda na Ki mtoto wa gari chake hadi nikamuonea huruma
 
Mawaziri hawana mbwembwe siku hizi..namuana mara kibao Kingwangwala yupo kwelye foleni anatweet tu hana mbwembwe wala nini
 
Nchi ya viwonder


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Akashusha vioo kabisa na kukupungia.

Huu uongo first class.

Sent using Jamii Forums mobile app
sio uongo
mimi binafsi wakati nasoma Tambaza high school 2003 tulikuwa tunamuona CDF General george waitara na gari yake 4 star akiingia ngome kila siku hakuwa ma vingora wala mbwembe kama za siku hizi, tuliwahi kumpungia mkono na yeye akarudisha salamu.
mwaka huu nilikutanana chief of staff YH Mohamed dodoma anamsafara kama wa magari 5 na MP wa kutosha,tena barabarani kila kona ya dodoma Millitary police wanafanya kazi za trafiki polisi, nilibaki na duwaa ni kajisemea zama zimebadilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…