moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,904
- 4,902
Ulivyompungia mkono ikawaje?!Niliwahi kukutana na davis mwamunyange kwenye foleni tena akiwa hana ata gari yenye 4 stars plate number nilimgundua alivyofungua kioo ndio nkampungia mkono CDF huyu makini kabisa kupata kutokea ktk nchi hii
Huyu afande kwanza anachelewa kazini, anapitaga tangi bovu around saa 1. Askari wale mbwembwe nyingi. Mara nyingi wanakuwa wrong lane na wanasababisha foleni upande ule unnecessarilyHabari wana jamvi,
Kwa wale wakazi wenzangu wa Mbezi Beach, Kunduchi, Goba na watumiaji wa barabara ya Bagamoyo kwa ujumla
bila shaka Mtakuwa mmekutana na huyu Kamanda wa Jeshi (Chief of Staff) ambaye kuanzia majira ya kila siku Asubuhi 12:30- 1:00 hutugandisha kwenye foleni kwa muda mrefu kila siku akisubiriwa kupita yeye na ma MPs wake wanaoning'inia kwenye milango bila sababu ya Msingi na wakati mwingine waki ning'inia na Bunduki na mavazi kama tuko Afghanistan...wakifokea watu barabarani kukaa pembeni tena wakiwa kwenye wrong Lane!
Binafsi ananikera sana, kama anahitajika kufika ofisini mapema si atoke mapema kama wengine...😡 au ndio Madaraka ya Kulevya?
Kuna siku niliwahi kuongozana na gari ya Waziri wa Ulinzi toka Uwanja wa ndege wa Dsm hadi hadi nilipofika Mwenge nao wakiwa kwenye foleni bila hamaki wala papara.
Hebu mfikishieni salamu huyu Kamanda, awaambie walinzi wake kuwa wastaarabu na kutotukera wananchi.
Sasa chief of staff ambaye hajali wenzake barabarani sijui anawajali vipi staff wake huko jeshini, alitakiwa awe mfano wa kuigwa.Cheo chake ni Chief of Staff, ni cheo cha pili kutoka brigedia general...kama ukifuatilia zaidi unaweza kulipata jina lake mahali fulani naamini
Duniani kote hao makamanda wana misafara kama kero ikizidi unaweza kubadili barabara tu
Yaani pale Makao utafuziwa mbali na MPs.
Chief of Staff si wa pili kutoka kwa General mwenyewe????Cheo chake ni Chief of Staff, ni cheo cha pili kutoka brigedia general...kama ukifuatilia zaidi unaweza kulipata jina lake mahali fulani naamini
Mkuu mimi ni mzoefu Wa hiyo barabara tangu enzi za mkwere kila asubuhi na jioni lazima kunakuwa na ving'ora vya hawa wajomba na tulishazoea huo utaratibu, mkuu all in all heshimu mamlaka husika hasa hawa mabaka mabaka ukileta ujuaji mwingi hawakawii kukufundisha adabu mpaka uhame mji na kuwachukia milele, mbona misafara ya rais mnapigishwa foleni mpaka Masaa mawili hulalamiki?
Jamaa flani Mzenji nadhani. Kateuliwa na Magu, mchelewaji yule anakuwa anakimbizana kuwahi ofcnCheo chake ni Chief of Staff, ni cheo cha pili kutoka brigedia general...kama ukifuatilia zaidi unaweza kulipata jina lake mahali fulani naamini
Afadhali wewe unanielewa vyema ninachozungumzia Ndugu Yodoki!...nimeshuhudia wakimkalipia mama wa watu aliyekuwa kapigwa na bumbuwazi kuona wanatokea ghafla mbele yake wakimuelekea toka upande anapokwenda na Ki mtoto wa gari chake hadi nikamuonea hurumaHuyu afande kwanza anachelewa kazini, anapitaga tangi bovu around saa 1. Askari wale mbwembwe nyingi. Mara nyingi wanakuwa wrong lane na wanasababisha foleni upande ule unnecessarily
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbwembwe tuuKwanini mbona CDF unatembea na gari 3 tu bila MPs kuninginia na mabunduki. Chief of Staff ana nini cha ziada?
Mawaziri hawana mbwembwe siku hizi..namuana mara kibao Kingwangwala yupo kwelye foleni anatweet tu hana mbwembwe wala niniHabari wana jamvi,
Kwa wale wakazi wenzangu wa Mbezi Beach, Kunduchi, Goba na watumiaji wa barabara ya Bagamoyo kwa ujumla
bila shaka Mtakuwa mmekutana na huyu Kamanda wa Jeshi (Chief of Staff) ambaye kuanzia majira ya kila siku Asubuhi 12:30- 1:00 hutugandisha kwenye foleni kwa muda mrefu kila siku akisubiriwa kupita yeye na ma MPs wake wanaoning'inia kwenye milango bila sababu ya Msingi na wakati mwingine waki ning'inia na Bunduki na mavazi kama tuko Afghanistan...wakifokea watu barabarani kukaa pembeni tena wakiwa kwenye wrong Lane!
Binafsi ananikera sana, kama anahitajika kufika ofisini mapema si atoke mapema kama wengine...😡 au ndio Madaraka ya Kulevya?
Kuna siku niliwahi kuongozana na gari ya Waziri wa Ulinzi toka Uwanja wa ndege wa Dsm hadi hadi nilipofika Mwenge nao wakiwa kwenye foleni bila hamaki wala papara.
Hebu mfikishieni salamu huyu Kamanda, awaambie walinzi wake kuwa wastaarabu na kutotukera wananchi.
Mvua ikinyesha tunapaki magari sote tunatembea kwa miguu magari hayapandi kwa utelezi.Na wewe anzisha msafara wako! Watu watajuaje sasa kama Chief of Staffs kapita? Mbaya zaid awe mhaya, mtakoma!
Ukiona kero sana, hamia huku kwetu Bonyokwa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe haki yako ni Ipi?
hakuna cheo cha chief of staff labda madarakaCheo chake ni Chief of Staff, ni cheo cha pili kutoka brigedia general...kama ukifuatilia zaidi unaweza kulipata jina lake mahali fulani naamini
sio uongo