Huyu Kamanda wa Jeshi anatukera sana wakazi wa Mbezi

Mbona huku Segerea Banana Nyerere road
anayopita Mabeyo haina Mbwembwe hizo,japo naye kuna sehemu anapita Wrong lane lkn hajawahi leta karaha aisee Yule jamaa
 
Huo msafara unakera kweli halafu wale waongozaji MP ndio wanakera Zaidi kwa matusi yao kwa watumia barabara wengine..nipo home mida hii hapa Makonde sasa hivi nitasikia mihoni ya msafara ule
 
Muda mwingine tunawalalamikia wazungu(Mabeberu) ila ukweli kuna ujinga sana Africa yetu
 
Ni mrangi wa Kondoa lakini ni mpole sana sidhani hicho wanachosema kama kina ukweli. Huwa anapita na msafara wake huwa hausimamishi magari.

Tofa
 
Hizo ni kero "mpya mpya" zilizojitokeza awamu hii.. Ukipita njia ya Ukonga/Tabata kuna maaskari magereza. jwtz na polisi wanataka hadhi hiyo!
Hata liwe tu basi limejaza wafungwa au askari wao, au lorry/gari linalosambaza askari ulinzi, watapita red lights, njia zisizo halali, ving'ora na honi nyingi tu!
Mbona tunakoma!
😡😡😡😡
 
Hahahahahaha....aise nimecheka kwa nguvu mno, kidogo nidondoke kwenye kiti, hahahahaha..
Laana za kunyanyasa raia hizo...
Hahahahahha...ni shida kwa kweli...ungerekodi mkuu tucheke zaidi...😀😀😀
 
Nadhani hapa mleta uzi hazungumzii ukubwa wa cheo chake. Issue ni ile adha anayowapa walipa kodi ambao ndiyo wanaomhudumia kunyanyaswa utadhani siyo raia wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu hata Mimi nilikuwa nataka kuliweka sawa tu yeye alijua ni brigadier general,chief of staff siku zote luten general, All in all ni changamoto za nchi ulimwengu wa tatu,Shida miundombinu yetu siyo rafiki.
Nchi za wenzetu watu kama hao wanaishi sehemu wanapofanyia kazi siyo sehemu za uraiani,Kwa wenzetu wa Tabata CDF naye changamoto kwetu ikifika SAA kumi utasikia chwiiii chwiiiii ng'oooo inabidi tukae pembeni tu mkuu.
 
Hawa viongozi wananyumba zao Osterbay na Masaki kwann hawataki kuishi huko?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiutaratibu hawaruhusiw kufanya kaz trafk wanatakiwa kuwasiliana trfk na huwa wanasbabisha ajali sometimes wao jukumu lao n kuhakikisha mkuu wao anafika salama. Na ndio maaana hufokea watu kwasababu hakuna mawasiliano katika njia zote kuu
 
Kiwango chako Wivu kimeshafika hadi 85% sasa...... Kitaalamu hii ni hatari kwa afya Mkuu.
 
Gusa unase
 
... huyu jamaa sijui ana tatizo gani. Mbona Jenerali Mabeyo tunapishana naye mitaa ya Segerea kila siku kikawaida kabisa bila wananchi kuwekwa pembeni au kugandishwa kwenye foleni. Anasahau kila mtu anawahi kwenye mihangaiko yake na sio yeye tu.

I like him mzee yupo peace saaana unaeza kukutana nae na usimjue
Kwanza anajichanganya na watu
I like him kwakwel


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…