Huyu Kamanda wa Jeshi anatukera sana wakazi wa Mbezi

Huyu Kamanda wa Jeshi anatukera sana wakazi wa Mbezi

Huo utakua wa mkuu wa tiss kama sikosei
Mbona wapo wengi wenye misafara ya namna hiyo. Tena kwa Bagamoyo Road kuna msafara mwingine unakua na gari tatu nyeusi nadhani ni V8 zile zinaenda kasi sana na kama ukichelewa kuwapisha barabarani kuna jamaa wamevaa suti wanafungua kioo cha dirisha wanakupa mkwara mzito

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kukutana na davis mwamunyange kwenye foleni tena akiwa hana ata gari yenye 4 stars plate number nilimgundua alivyofungua kioo ndio nkampungia mkono CDF huyu makini kabisa kupata kutokea ktk nchi hii
Akashusha vioo kabisa na kukupungia.

Huu uongo first class.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe lile wazo la kuwapa nafasi nyingine nyeti limepata majibu kwahiyo wakiwa karibu na jamii watagusa interest zenu sidhani kama huwezi kuvumilia dk.10 tu apite wala hupungukiwi kitu lakini kwakuwa tumezoea kulalamika baso sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cheo chake ni Chief of Staff, ni cheo cha pili kutoka brigedia general...kama ukifuatilia zaidi unaweza kulipata jina lake mahali fulani naamini
kuna mmoja yupo huko madale ni mkubwa wa nini sijui..... ana V8 tatu wala hanaga mbwembwe saaana...... akifika kibaoni pale kingo'ra kinawashwa anasepa zake mjini..... amejenga hekalu kubwa sana huko madale.
 
Hawa jamaa kweli wanapaswa kuwa na walinzi lakini wakati mwingine wana exaggerate zaidi
Kuna siku natoka hotel moja kubwa nipo nje wakatoka mp wawili mmoja anaangalia kushoto mwingine kulia yaani utafikiri tunavamiwa yaani kama wana act movie kabisa na mimi nikajisemea sijui nilale chini ku take cover maana na mimi sio wa spotispoti
Basi katoka bosi na mbembwe zote zile gari likakataa kuwaka
Mimi bado naangalia movie tu

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Hawa jamaa kweli wanapaswa kuwa na walinzi lakini wakati mwingine wana exaggerate zaidi
Kuna siku natoka hotel moja kubwa nipo nje wakatoka mp wawili mmoja anaangalia kushoto mwingine kulia yaani utafikiri tunavamiwa yaani kama wana act movie kabisa na mimi nikajisemea sijui nilale chini ku take cover maana na mimi sio wa spotispoti
Basi katoka bosi na mbembwe zote zile gari likakataa kuwaka
Mimi bado naangalia movie tu

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
ha ha ha ha!
 
Back
Top Bottom