Huyu kanichosha

blaza, nilipofika kusoma sehemu uloandika kachukua hela kaenda kununua jokofu, roho imeniuma sana. dah, pole blaza.
jitenge na huyo binti atakuingiza kwenye umaskini.
mimi nipo napambana na wangu hapa ananunanuna hovyo habadiliki hata umuelekezeje anajisahau sana.
nashkuru Mungu sijamuoa na dalili za kuoa naona zinaanza kupotea, ni jipu huyu, kisirani mno, sometimes nasema labda kwasababu bado mdogo akikua ataacha ila kuna roho inanambia ntachomwa na jua sana huko mbeleni.

fukuza huyo mwanamke hata akiomba msamaha puuzia usiwe na huruma kama mimi huruma inatukosti sana kaka.
 
Pole sana jamaa kama anazingua usiingie kwenye mkataba
 
Inaudhi na kusikitisha sana kudhani umepata mke kumbe alificha makucha yake. Hivi Mkuu weye ni KE?

Huwa nawahurumia sana wanaume ninapo sikia mambo ya ovyo kama haya.
 
Duhh.....
Samahani mkuu maana nilikua kanisani, kwani huyo my waifu wako ndio huyo kwenye picha...!!??
 
Shida ni kuoa mwanamke unayempenda sana.
Love is weakness, wachache sana tunaoweza kuweka hisia pembeni na kufanya maamuzi sahihi.

Yaani kachukua 2M unachekacheka tu hata kofi hamna,
 
Jamaa ntamnyoosha saivi
Shida ni kuoa mwanamke unayempenda sana.
Love is weakness, wachache sana tunaoweza kuweka hisia pembeni na kufanya maamuzi sahihi.


Yaani kachukua 2M unachekacheka tu hata kofi hamna,
 
Kumbe mwenzangu aliziona, akachukua na kwenda kununua furniture, Oven, Friji na vikolombwezo vingine kwa ajili ya kumpa rafiki yake ambaye alikuwa anafanyiwa kitchen party Wiki iliyokua inafuata.
hii ingekua ticket ya kwenda kwao na asirudi tena, halafu inaonekana mkeo ulimuoa akiwa hajaenjoy ujana vizuri mana ana utoto/ujinga wa kiwango cha lami
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
hii ingekua ticket ya kwenda kwao na asirudi tena, halafu inaonekana mkeo ulimuoa akiwa hajaenjoy ujana vizuri mana ana utoto/ujinga wa kiwango cha lami
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…