Huyu kanichosha

Changamoto tuliyonayo vijana ni kuamini tabia tutazirekebisha tukiwa ndani. Lakini tabia ni ngozi itapretend for a while then irudi kwenye uhalisia wake
My mama once said "beauty with brain is a big deal"
 
Thanks bro!
Changamoto tuliyonayo vijana ni kuamini tabia tutazirekebisha tukiwa ndani. Lakini tabia ni ngozi itapretend for a while then irudi kwenye uhalisia wake
My mama once said "beauty with brain is a big deal"
 
Naunga mkono hoja
Ila nashauri awapandishe vyeo wote wawili
Wife awe 3rd officer, uteuzi uanze mara moja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12]nyie jamaa bhana
 
Ila mkuu si umeamua mwenyewe kumwekea wafanyakazi wawili wa ndani sasa kinachokuliza ni nini ndugu yangu?.

Nikwambie kitu sipendi uweachishe kazi hao mabinti ila kwa masilahi mapana ya ndoa na familia yako embu fanya kuwapa mitaji hao maninti kiroho safi uwaambie samahanini naomba mkataba wetu wa ajira uishie hapa.

Naona watakusikiliza alafu sasa huyo mkeo umuache afanye hayo yote mwenyewe ataacha ujinga wake na uvivu.

Wala usimpe talaka sababu bado utaumia mkuu, huyo bado mdogo sana miaka 28 anaweza mkagawana mali alafu akaenda olewa na kajamaa kaboya boya ukashangaa kabadilika hapo utaanza sema mkeo alikuwa anakucheat na huyo mume wake mpya kumbe walaa ni kwamba kajifunzia nje ya kwako.

Natumai umenielewa Bro!. Pole sana
 
Asante bro kwa ushauri mwema[emoji1317]
 
Kimbiza mapema kabla hujafa kwa pressure.

Kitendo cha kukunyima MJEGEJO ni pigo kwako, sasa mwanamke mwizi unakaa naye wa kazi gani?

Hapo sasa hatujajua kama kuchapiwa umesalimishwa!

Kuna wanawake wanatumiwa na Shetani ipasavyo. Huyo maisha yake ni kutangatanga tu miaka yote. Hawaambiliki wala kusikia ushauri.

Hatma yake ndilo litakuwa juto lake mbeleni
 
Ebu Mrudushe kwako kwa Mara ya Mwisho, Mpeleke were mwenyewe mpaka kwa wazazi wake, waeleze tatizo, ili asikuone unamgeuka alafu aseme yeye mwenyewe lini atakuwa tayari kurudi akiwa na tabia sahihi... Vinginevyo mpeleke sehemu kama unamtoa out Fulani alafu,mchane live ajuekichwani mwako mini kinaendelea... Nafikiri wanaitaji kukumbushwa mara kwa Mara hawa viumbe thaifu wa Mungu...
 
Umuleavyo ndivyo akuwavyo,chanzo cha yote hayo ni wewe,lazima usimame kama baba sio unasema umeoa alafu unakuwa na akili za kivulana,,
Anashinda na simu kwenye mitandao ya kijamii,ni kwa vile umemuwekea wafanyakazi wa kufanya kila kitu,
Anachukua fedha bila idhini yako na kufanya matumizi,ni kwa kuwa huna kauli juu take,
Anakunyima papa ni kwa kuwa amekucontrol,
Zaidi badilika kuwa mwanaume ili nae ajue nina mwanaume sio mvulana
 
Duuh, huyu wangu sitakaa nimuache ng'oooo! Nimegundua wa kwangu ni mke mwema saaaaana,.. Nikisoma maisha ya ndoa ya watu na visanga vyao... Namshukuru Mungu kwa mke alonipa... Hakika nimepata mke haswaaaa... Pole yako.
 
Duuh, huyu wangu sitakaa nimuache ng'oooo! Nimegundua wa kwangu ni mke mwema saaaaana,.. Nikisoma maisha ya ndoa ya watu na visanga vyao... Namshukuru Mungu kwa mke alonipa... Hakika nimepata mke haswaaaa... Pole yako.
Tuachie na sie tujaribu kama kweli ni mwema hivyo.
 
Kweli jamaa[emoji1322][emoji1322][emoji1322]
 
This time she will go for good
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…