Huyu kanichosha

Kama sio hadithi ya kutunga Hongera brother we no mwanaume. Yaani matukio yote hayo eti hujaacha nae basi Mungu akuzawadie Ufalme wa mbinguni. Ila Fanya maamuzi ya moyo wako ili upate amani ili baadae usijekuilaum jf.
 
Jikaze tu ndio mzigo wako huo, siwengine tumeamua kuwa walevi wa pombe Kali tu maisha yaendelee
 
Mkuu pole sana, uyo mkeo hana uchungu na jasho lako kabisa kwa iyo hawezi kujali pesa zako so siwezi kukwambia muachane la asha! Wewe mtu mzima yapasa kuchukua maamuzi magumu juu ya ustaw wa uchumi wako
Asante jamaa yangu
 
Jamaa poooooovu kama lote mbona bro upo mtandaoni? kwana hapa unafanya nn bro kwenye chai ongeza maziwa[emoji38][emoji38]
 
Kumbe mwenzangu aliziona, akachukua na kwenda kununua furniture, Oven, Friji na vikolombwezo vingine kwa ajili ya kumpa rafiki yake ambaye alikuwa anafanyiwa kitchen party Wiki iliyokua inafuata. Nilipomuuliza akawa akinipa stori za alufu ulela ulela. Hazina miguu wala mikono
HUYU SIO MTU NI PUPU
 
Kumbe mwenzangu aliziona, akachukua na kwenda kununua furniture, Oven, Friji na vikolombwezo vingine kwa ajili ya kumpa rafiki yake ambaye alikuwa anafanyiwa kitchen party Wiki iliyokua inafuata. Nilipomuuliza akawa akinipa stori za alufu ulela ulela. Hazina miguu wala mikono
HUYU SIO MTU NI PUPU
 
Jamaa hebu lala aisee[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Story


Halafu jamaa mbona hulali au umetoka kwenye yale mambo yako ya night[emoji3136][emoji3381]




[emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322]
Nakuona kila kona unavinjari kama huna majonzi vile... Au hii story ni chai?
 
Sikia Mzee wa mapacha..
Fikisha ujumbe kwao haswa kwa ndugu unaemuona yuko vizuri kifikra..
Mwambie unavyo kwazika..
Kama haitoshi kutanisha familia yake na yako muongee..
Akizidi kuzingua hakuna haja mpe halftime..
 
Ungefanya kama ninavyofanya
Unapotea nyumbani kwanza kwa muda wa siku kadhaa

Ukirudi atakuuliza ulikuwa wapi.....( ) iwe siri yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…