TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
uzi una dakika 27 na watu wameuchunia tu. ungekuwa ni uzi aliouanzisha mfungwa GENTAMYCINE hivi sasa ungekuwa hata ukurasa wa pili au hata wa tatuHebu sikiliza hiyo sauti aiseee
Nani ameuchunia?uzi una dakika 24 na watu wameuchunia tu. ungekuwa ni uzi aliouanzisha mfungwa GENTAMYCINE hivi sasa ungekuwa hata ukurasa wa pili au hata wa tatu
kwahiyo unakiri kuwa uzi wako ulikuwa umedoda ila ujio wangu ndiyo nimeupromoti?Nani ameuchunia?
Uzi uchuniwe na wewe Mwanamke ushakomenti?
Shida kubwa ya bwana mdogo ni Dharau ,Kiburi na kujiona yeye ni bora ila vingivevyo yuko sambamba na ali kiba kabisa ww jiulizs kijan leo wakupitwa na mtu kama chinoHebu sikiliza hiyo sauti aisee
Dogo anajua sana aiseeShida kubwa ya bwana mdogo ni Dharau ,Kiburi na kujiona yeye ni bora ila vingivevyo yuko sambamba na ali kiba kabisa ww jiulizs kijan leo wakupitwa na mtu kama chino
Leo nataka nikupige Mkunyubenga kabla mke mkubwa GENTAMYCINE hajarudi !kwahiyo unakiri kuwa uzi wako ulikuwa umedoda ila ujio wangu ndiyo nimeupromoti?