Huyu kiongozi mzalendo, mwana wa Afrika hakujua kuwa walio karibu naye hawakumpenda na walimtakia mabaya kama ilivyokuwa kwa Thom Sankara?

Huyu kiongozi mzalendo, mwana wa Afrika hakujua kuwa walio karibu naye hawakumpenda na walimtakia mabaya kama ilivyokuwa kwa Thom Sankara?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Thomas Sankara alijitoa uhai wake kwa ajili ya Afrika na watu wa Bukinabe.

Alitaka taifa lake lijitegemee na na umasikini uliolikabiri taifa lake uondokane kwa nguvu za wananchi wa taifa hilo.

Alifanyiwa mbaya na mafisadi ambao walikuwa karibu naye na aliuwawa bila hata huruma.

Je, huyu Mzalendo wa Afrika aliyejitoa kwa taifa lake kama Thomas Sankara hakujua kuwa waliokaribu yake hawakumpenda sababu tu alitetea maslahi ya taifa lake?
 
Kuna ambao hawakumpenda kwasababu ya kusitishiwa upatikanaji ajira,ila walikua na matumaini ya kuja kuajiriwa siku za mbeleni,hao hawakumuwazia kifo.

Kuna wale waliotumbuliwa kwa vyeti feki, nao pia hawakumuwazia kifo, ila wale waliokatiwa mirija ya madili kama rushwa kubwakubwa, kupendeleana n.k,hao walimuwazia kifo yule mwamba.

Sijui nini kilitokea akaaga Dunia,ila tuliambiwa MOYO. Viapo vina siri sana.
 
Thomas Sankara alijitoa uhai wake kwa ajili ya Afrika na watu wa Bukinabe.

Alitaka taifa lake lijitegemee na na umasikini uliolikabiri taifa lake uondokane kwa nguvu za wananchi wa taifa hilo.

Alifanyiwa mbaya na mafisadi ambao walikuwa karibu nae na aliuwawa bila hata huruma.

Je, huyu Mzalendo wa Afrika aliyejitoa kwa taifa lake kama Thomas Sankara hakujua kuwa waliokaribu yake hawakumpenda sababu tu alitetea maslahi ya taifa lake?
Semeni ukweli tu alijitoa kwa ajili ya mafanikio yake na watu wa karibu yake.mifano ni mingi sana;ua wapinzani,ua demokrasia,jenga viwanja vya ndege kwenu,nyima vijana ajira ili wakusujudu.

Jishughulishe kusoma historia umsome Franklin Roosevelt alivyo boresha maisha ya wamarekan baada ya great economic depression.alivyotengeneza ajira kwa maelfu hadi akatawala vipindi vitatu.kisha ututolee huyo msukule hapa
 
Back
Top Bottom