Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
- #21
Wewe ni kibaraka wa mafisadi huna lolote fala mkubwa pumbavuKwa wajinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni kibaraka wa mafisadi huna lolote fala mkubwa pumbavuKwa wajinga.
Nyie ndio wapiga madili wenyewe pumbav! Kazi ni kujustify kupanda kwa gharama za maisha tu kila Leo na kujificha kwenye chaka la "hapo katikati"Huyu mtu wenu muacheni, maana tukianza kuanika mabaya yake mnasema tumuache apumzike, tusipambane na marehemu...Sasa nyie acheni kupambanisha marehemu na walio hai.
Dhalimu? Dhalimu asingekubalika kwa wananchi wa kawaida na wanyonge. Labda udhalimu ni kuwabana mafisadi kwa tafsiri yako.
Wewe ni kibaraka wa mafisadi huna lolote fala mkubwa pumbavu
Sijapanik nakuchana liveUshapanic tayari.
Wewe kushindwa uchaguzi ndio iwe sababu ya kuleta chuki za kipuuzi? Unadhani nguvu ya kura inashindwa kirahisi?Unakubalika na wananchi kisha unategemea kunajisi uchaguzi ili utangazwe mshindi! Uza ubongo huo dogo.
Ni dalili pia ya kushiriki kumuondoa na sasa hadi maazimisho yake ni sherehe badala ya huzuniThomas Sankara alijitoa uhai wake kwa ajili ya Afrika na watu wa Bukinabe.
Alitaka taifa lake lijitegemee na na umasikini uliolikabiri taifa lake uondokane kwa nguvu za wananchi wa taifa hilo.
Alifanyiwa mbaya na mafisadi ambao walikuwa karibu nae na aliuwawa bila hata huruma.
Je, huyu Mzalendo wa Afrika aliyejitoa kwa taifa lake kama Thomas Sankara hakujua kuwa waliokaribu yake hawakumpenda sababu tu alitetea maslahi ya taifa lake?
Thomas Sankara alijitoa uhai wake kwa ajili ya Afrika na watu wa Bukinabe.
Alitaka taifa lake lijitegemee na na umasikini uliolikabiri taifa lake uondokane kwa nguvu za wananchi wa taifa hilo.
Alifanyiwa mbaya na mafisadi ambao walikuwa karibu nae na aliuwawa bila hata huruma.
Je, huyu Mzalendo wa Afrika aliyejitoa kwa taifa lake kama Thomas Sankara hakujua kuwa waliokaribu yake hawakumpenda sababu tu alitetea maslahi ya taifa
Too late!!his legacy will survive forever
So what?Too late!!
Imeisha hiyooo 🙌🙌, kusahaulika mapeeema kbs. Kikubwa ni kukubali hali halis maan hata ulinz wa legacy imeshindikana!!!So what?
Kumbuka kuna watu walipotezwa na huyo unaemuona mzalendo, lkn kubwaa zaidi zaidi zaidi karibu wote wanaojiona wazalendo wanakuwa "never told" kila wakifanyacho wanataka waonekane wapo sahihi.Thomas Sankara alijitoa uhai wake kwa ajili ya Afrika na watu wa Bukinabe.
Alitaka taifa lake lijitegemee na na umasikini uliolikabiri taifa lake uondokane kwa nguvu za wananchi wa taifa hilo.
Alifanyiwa mbaya na mafisadi ambao walikuwa karibu nae na aliuwawa bila hata huruma.
Je, huyu Mzalendo wa Afrika aliyejitoa kwa taifa lake kama Thomas Sankara hakujua kuwa waliokaribu yake hawakumpenda sababu tu alitetea maslahi ya taifa lake?
Are you stupid?Imeisha hiyooo 🙌🙌, kusahaulika mapeeema kbs. Kikubwa ni kukubali hali halis maan hata ulinz wa legacy imeshindikana!!!
Au Kwa lugha nyingine huyo mzalendo wako hakujua kuwa aliowafanyia unyama wasingeweza ku retaliate?Thomas Sankara alijitoa uhai wake kwa ajili ya Afrika na watu wa Bukinabe.
Alitaka taifa lake lijitegemee na na umasikini uliolikabiri taifa lake uondokane kwa nguvu za wananchi wa taifa hilo.
Alifanyiwa mbaya na mafisadi ambao walikuwa karibu nae na aliuwawa bila hata huruma.
Je, huyu Mzalendo wa Afrika aliyejitoa kwa taifa lake kama Thomas Sankara hakujua kuwa waliokaribu yake hawakumpenda sababu tu alitetea maslahi ya taifa lake?
Tanzania kiongozi mzareeendo alikuwa ni marehemu mwl JK Nyerere tu.Thomas Sankara alijitoa uhai wake kwa ajili ya Afrika na watu wa Bukinabe.
Alitaka taifa lake lijitegemee na na umasikini uliolikabiri taifa lake uondokane kwa nguvu za wananchi wa taifa hilo.
Alifanyiwa mbaya na mafisadi ambao walikuwa karibu nae na aliuwawa bila hata huruma.
Je, huyu Mzalendo wa Afrika aliyejitoa kwa taifa lake kama Thomas Sankara hakujua kuwa waliokaribu yake hawakumpenda sababu tu alitetea maslahi ya taifa lake?
Sukuma gang kaziniSo what?
Mnyonge ni wewe na familia yako msiyo jitambuaIpo siku wananchi wanyonge watakupopoa mawe kwa upuuzi wako
Hakuwa na UMWAMBA Wowote ila shari tuu.Kuna ambao hawakumpenda kwasababu ya kusitishiwa upatikanaji ajira,ila walikua na matumaini ya kuja kuajiriwa siku za mbeleni,hao hawakumuwazia kifo.Kuna wale waliotumbuliwa kwa vyeti feki,nao pia hawakumuwazia kifo,ila wale waliokatiwa mirija ya madili kama rushwa kubwakubwa,kupendeleana n.k,hao walimuwazia kifo yule mwamba.Sijui nini kilitokea akaaga Dunia,ila tuliambiwa MOYO.Viapo vina siri sana.
Legacy ya kutoka wapi?his legacy will survive forever