Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Kama ni muislam piga zile sura 3 usiku kabla ya kulalaYani anakuja anatua karibu na Dirishani ninakolala anaanza kulia Hovyo..
Hapo ni usiku wa manane, anakuja karibu mara 3 kwa wiki. Cha ajabu majirani zangu hawasikii akilia.
namna gani naweza mdhibiti?
maana kiasili huyu si kiumbe mwema
View attachment 2593735
mkuu kuhusu hilo ondoa shaka..Lipa madeni kaka ataondoka tu. 😅😅😅
Thank you ubarikiwe sanaTanya maombi ya Nguvu Mkuu, ukitaka kuthibitisha nguvu ya Maombi, siku akija usiku, amka anza kufanya Maombi, ataondoka na utakuja kutoa ushuhuda hapa!
Mafuta na Maji ya Mwamposa yanamhusuYani anakuja anatua karibu na dirishani ninakolala anaanza kulia hovyo.
Hapo ni usiku wa manane, anakuja karibu mara 3 kwa wiki. Cha ajabu majirani zangu hawasikii akilia. Namna gani naweza mdhibiti?
Maana kiasili huyu si kiumbe mwema
mkuu mikopo hio...hahahahaha
mkuu kuhusu hilo ondoa shaka..
mimi ndio nawakopesha wananisumbua kulipa..
umenipa alert nianze kuliangalia na hilo
View attachment 2593748
Aliliwa kwa siku ngapi ?Mkuu mikopo hio...
Kina mama wanakopa hadi hela ya mboga
Atakua anajihisi kama kapigwa bastola? Au anaogopa flash?Chukua torch usiku ukisikia Analia,traatibu nyata!akiwa huko juu ya paa Fanya kama unamlenga na torch ,Kisha washa mara tatu Ile Zima,washa,Zima washa x3 ,atakimbia na hatorudi tena