Huyu kiumbe ananitesa sana usiku

Huyu kiumbe ananitesa sana usiku

Yani anakuja anatua karibu na dirishani ninakolala anaanza kulia hovyo.

Hapo ni usiku wa manane, anakuja karibu mara 3 kwa wiki. Cha ajabu majirani zangu hawasikii akilia. Namna gani naweza mdhibiti?

Maana kiasili huyu si kiumbe mwema

Huo ni ushirikina tu, watu wanakuchorea rada akija kupotea huyo kiumbe ujue kifuatacho ni mabomu tu, ila we muombe mungu akulinde tu hakuna wanachoweza kukufanya bila ya ruhusa ya muumba wako.
 
Nina biashara ya mikopo.. nakopesha watu wengi japo fedha ni ndogo ndogo kuanzia elfu 10 mpaka laki 5 na marejesho yake yameanza kwenda mrama(riba zake ni kwa wiki).

Sasa imefikia wakati nakopesha watu halafu nasahau kwenda kudai, wengine nadai lakini SILIPWI KABISA au nacheleweshewa hela mpaka miezi mitatu na zaidi

nashindwa kuelewa tatizo lilikotokea.
 
Nina biashara ya mikopo.. nakopesha watu wengi japo fedha ni ndogo ndogo kuanzia elfu 10 mpaka laki 5 na marejesho yake yameanza kwenda mrama(riba zake ni kwa wiki).

Sasa imefikia wakati nakopesha watu halafu nasahau kwenda kudai, wengine nadai lakini SILIPWI KABISA au nacheleweshewa hela mpaka miezi mitatu na zaidi

nashindwa kuelewa tatizo lilikotokea.
Nikopeshe laki 5 ☺️
 
Yani anakuja anatua karibu na dirishani ninakolala anaanza kulia hovyo.

Hapo ni usiku wa manane, anakuja karibu mara 3 kwa wiki. Cha ajabu majirani zangu hawasikii akilia. Namna gani naweza mdhibiti?

Maana kiasili huyu si kiumbe mwema

kama kwenu kuna mgonjwa anza kuandaa msiba!!...bundi huwa anaanza kusikia harufu ya mtu mgonjwa aliyezidiwa ambae ameanza kutoa harufu kama ya mzoga kutoka tumboni kabla ya kiumbe yeyote yule
 
Msalimie Mama Jacky!!!kama kufa utakufa tuu hata bundi asipo tua kwako,,na hakuna udhibitisho wowote ya kwamba ana hayo mambo wanayosema watu ni stori za kusadikika,,,kama ndio hivyo wangetua sana mahosiptalini usiku maana huko wagonjwa wanakata roho ni wengi pia,,asili yake ni kutembea usiku,,kama popo tuu hana shida yoyote na anabaraka zake pia kaitua kwako,,,kama ndege wengine wanavyotua mchana kwao,,,ni harakati zake za kawaida katika maisha!!!
 
Nina biashara ya mikopo.. nakopesha watu wengi japo fedha ni ndogo ndogo kuanzia elfu 10 mpaka laki 5 na marejesho yake yameanza kwenda mrama(riba zake ni kwa wiki).

Sasa imefikia wakati nakopesha watu halafu nasahau kwenda kudai, wengine nadai lakini SILIPWI KABISA au nacheleweshewa hela mpaka miezi mitatu na zaidi

nashindwa kuelewa tatizo lilikotokea.
Kapige mnada makochi yao
 
Back
Top Bottom