Huo ni ushirikina tu, watu wanakuchorea rada akija kupotea huyo kiumbe ujue kifuatacho ni mabomu tu, ila we muombe mungu akulinde tu hakuna wanachoweza kukufanya bila ya ruhusa ya muumba wako.Yani anakuja anatua karibu na dirishani ninakolala anaanza kulia hovyo.
Hapo ni usiku wa manane, anakuja karibu mara 3 kwa wiki. Cha ajabu majirani zangu hawasikii akilia. Namna gani naweza mdhibiti?
Maana kiasili huyu si kiumbe mwema
Kaka umeniita mimi π πLipa madeni kaka ataondoka tu. π π π
Nikopeshe laki 5 βΊοΈNina biashara ya mikopo.. nakopesha watu wengi japo fedha ni ndogo ndogo kuanzia elfu 10 mpaka laki 5 na marejesho yake yameanza kwenda mrama(riba zake ni kwa wiki).
Sasa imefikia wakati nakopesha watu halafu nasahau kwenda kudai, wengine nadai lakini SILIPWI KABISA au nacheleweshewa hela mpaka miezi mitatu na zaidi
nashindwa kuelewa tatizo lilikotokea.
Hao viumbe wengine ni debt collectors. Ukilipa madeni, huwaoni tena π π πKaka umeniita mimi π π
Njoo inbox..Nikopeshe laki 5 βΊοΈ
πππππHao viumbe wengine ni debt collectors. Ukilipa madeni, huwaoni tena π π π
kama kwenu kuna mgonjwa anza kuandaa msiba!!...bundi huwa anaanza kusikia harufu ya mtu mgonjwa aliyezidiwa ambae ameanza kutoa harufu kama ya mzoga kutoka tumboni kabla ya kiumbe yeyote yuleYani anakuja anatua karibu na dirishani ninakolala anaanza kulia hovyo.
Hapo ni usiku wa manane, anakuja karibu mara 3 kwa wiki. Cha ajabu majirani zangu hawasikii akilia. Namna gani naweza mdhibiti?
Maana kiasili huyu si kiumbe mwema
Hiii dhamana aisee pasua kichwa mno mama jaki alale kwako siku 2 balaa tupuπmkuu kuhusu hilo ondoa shaka..
mimi ndio nawakopesha wananisumbua kulipa..
umenipa alert nianze kuliangalia na hilo
View attachment 2593748
π€£π€£Mke wa mtu analiwa kimasihara kisa mumewe hana elfu 20π€£π€£geezmkuu mikopo hio...
kina mama wanakopa hadi hela ya mboga
Yani anakuja anatua karibu na dirishani ninakolala anaanza kulia hovyo.
Hapo ni usiku wa manane, anakuja karibu mara 3 kwa wiki. Cha ajabu majirani zangu hawasikii akilia. Namna gani naweza mdhibiti?
Maana kiasili huyu si kiumbe mwema
Kapige mnada makochi yaoNina biashara ya mikopo.. nakopesha watu wengi japo fedha ni ndogo ndogo kuanzia elfu 10 mpaka laki 5 na marejesho yake yameanza kwenda mrama(riba zake ni kwa wiki).
Sasa imefikia wakati nakopesha watu halafu nasahau kwenda kudai, wengine nadai lakini SILIPWI KABISA au nacheleweshewa hela mpaka miezi mitatu na zaidi
nashindwa kuelewa tatizo lilikotokea.