SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Ali Kamwe aliulizwa mbona Pacome hajaonekana akaanza kuchekacheka huku akijigamba mashindano makubwa yanachezwa kikubwa na kwamba wana mbinu za kivita. Baada ya mechi zinakuja stori za malaria.
Kocha wa MCA aliweka wazi wachezaji wake atakaowakosa.
Kocha wa MCA aliweka wazi wachezaji wake atakaowakosa.