Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli imebaki stori ,kila lenye mwanzo lina mwisho
Alikuwa hatari sana....ukiitaja Yanga ulikuwa unamtaja yeye!!Natizama mechi ya maveterani hapa Azam tv ,huyu lunyamila yupo ubavu wa kushoto kwa namna anavyocheza inaonyesha ana akili sana na Fundi
Sijui enzi zake alikuaje huyu veterani
Watoto wamezaliwa enzi za mwinyi
The law of im permanenceKweli imebaki stori ,kila lenye mwanzo lina mwisho
Edibili Jonas Lunyamila....pale mbele Said Mwamba Kizota huku simba Wako Mohamed Mwameja Langoni beki yuko George Masatu....kipa wa yanga Steven Nemes.....hizo zilikua enzi za vipaji wachana na watoto wa siku hizi kusuka twende kilioni na kupaka sijui mango piko sijui supa blaki...Natizama mechi ya maveterani hapa Azam tv ,huyu lunyamila yupo ubavu wa kushoto kwa namna anavyocheza inaonyesha ana akili sana na Fundi
Sijui enzi zake alikuaje huyu veterani
Akina Athuman china. Marota soma born jagla. Ramadhan leni kasongo Athuman bek hatar sana hii aisee daaaah.Edibili Jonas Lunyamila....pale mbele Said Mwamba Kizota huku simba Wako Mohamed Mwameja Langoni beki yuko George Masatu....kipa wa yanga Steven Nemes.....hizo zilikua enzi za vipaji wachana na watoto wa siku hizi kusuka twende kilioni na kupaka sijui mango piko sijui supa blaki...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mikal pol, Damian kimti,nteze John,malota soma etcEdibili Jonas Lunyamila....pale mbele Said Mwamba Kizota huku simba Wako Mohamed Mwameja Langoni beki yuko George Masatu....kipa wa yanga Steven Nemes.....hizo zilikua enzi za vipaji wachana na watoto wa siku hizi kusuka twende kilioni na kupaka sijui mango piko sijui supa blaki...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulikuwa na Dua Said piaEdibili Jonas Lunyamila....pale mbele Said Mwamba Kizota huku simba Wako Mohamed Mwameja Langoni beki yuko George Masatu....kipa wa yanga Steven Nemes.....hizo zilikua enzi za vipaji wachana na watoto wa siku hizi kusuka twende kilioni na kupaka sijui mango piko sijui supa blaki...
Sent using Jamii Forums mobile app