Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
Edibili Jonas Lunyamila....pale mbele Said Mwamba Kizota huku simba Wako Mohamed Mwameja Langoni beki yuko George Masatu....kipa wa yanga Steven Nemes.....hizo zilikua enzi za vipaji wachana na watoto wa siku hizi kusuka twende kilioni na kupaka sijui mango piko sijui supa blaki...
Sent using Jamii Forums mobile app
huyu aliejibu hapa hafanani wewe mkuu...........mjinga mpishe msifananeusipende kujipendekeza..! Kiazi mbatata wewe.. Naona unawashwa nitakutia cha kati bila ky mazafaka
Jr[emoji769]
lunya ni moto wa gas weka mbali na watoto
ndiyo umemaliza kucoment ,,,,,,,, basi nilikosea kuandika samahani Lunya hajui mpira ...... nimefuta kauli....... nafikiri nafsi yako imefurahi......Hivi wewe umeshawahi kucheza hata cha ndimu maishano mwako? Lunya ana mpira gani, mtu alishindwa kupata namba ya benchi Ujerumani tena ligi daraja la 3? Acha ujinga, watu kama nyie ndiyo mnaua mpira wa Tanzania, mnasifia vibonde na kuwapa vichwa bure wakati hawastahili sifa zozote.
My apology...! Sikupaswa kujibu hivihuyu aliejibu hapa hafanani wewe mkuu...........mjinga mpishe msifanane
Hahah Mkuu shikamooYaani humu jf saa zingine tunabishana kumbe tunabishana na watoto zetu.....Lunyamila ni juzi tuu.
Zanzibar 1991Naikumbuka UMISETA ile Zanzibar na Morogoro nikiwa kanda ya Kaskazini
Huko walikuwepo kina Abbas Mchemba, Bitto John, Efrem Makoye, Paul John Masanja, Renatus Njohole na Dua Said. Kweli nimekuwa Muhenga ila ni mtu nnaejulikana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sawa kabisa. Mie nilikuwa kwenye kanda ya Mashariki Zanzibar na Songea kwenye timu ya kikapu. Nakumbuka Songea nilikuwepo mimi, Patrick Nyembera, Gaston Assey, Jenga Mapunda, Evarist Mapunda, Ben Swai, Eric Temba, etc. Ndio tuliokuja kuunda timu za Vijana na Pazi zilizofuata. Kwa kweli michezo ilisaidia sana kukuza vipaji sio kwa mpira wa miguu tu, bali kwa michezo mingine.Zanzibar 1991
Songea 1992
Morogoro 1993 hii lunya hayupo hapa waliibuka watu kama tembele; alex chola rajab masare kina athuman mwangwego na primus kasonzo moro palikuwa patamu sana mmenikumbusha mbali hapo kanda ya mashariki ina mikoa miwili pwani na moro baada ya dar kusimamishwa tokea vurugu ya 92 duh waqt umekwenda.
Unguja walikuwa kina masoud na dullah upande wa kikapu magharibi kina Michael mwita kina mzungu kina Godfrey msemakweli.Uko sawa kabisa. Mie nilikuwa kwenye kanda ya Mashariki Zanzibar na Songea kwenye timu ya kikapu. Nakumbuka Songea nilikuwepo mimi, Patrick Nyembera, Gaston Assey, Jenga Mapunda, Evarist Mapunda, Ben Swai, Eric Temba, etc. Ndio tuliokuja kuunda timu za Vijana na Pazi zilizofuata. Kwa kweli michezo ilisaidia sana kukuza vipaji sio kwa mpira wa miguu tu, bali kwa michezo mingine.
Paul hasule wa sports club villa 1993 Eddy waganda wakampachika (Roger Milla )badala ya lunyamila. Villa imejaa wajuzi kina Robert ssemakula kina issa seketawa akina Robert ssemogerere akina iddy batambuzi akina sule kato.Kiboko ya Paul Aswile.
Duu mshana Jr ni ww kweli au?yaan ww humu jf ni miongoni mwa watu ninaowakubali sana aisee matusi siyo fresh kakausipende kujipendekeza..! Kiazi mbatata wewe.. Naona unawashwa nitakutia cha kati bila ky mazafaka
Jr[emoji769]
Bahati mbaya sana maandishi hayafutiki lakini nimeshaomba radhi na narudia kuomba radhi tena kwa hiki nilichoandika.. Sikutenda kwa weledi na nikaongozwa na ghadhabu za ghafla nikakosa tafakuriDuu mshana Jr ni ww kweli au?yaan ww humu jf ni miongoni mwa watu ninaowakubali sana aisee matusi siyo fresh kaka
Poa bro pamoja sana uko sahihi kabisa umeonesha uungwanaBahati mbaya sana maandishi hayafutiki lakini nimeshaomba radhi na narudia kuomba radhi tena kwa hiki nilichoandika.. Sikutenda kwa weledi na nikaongozwa na ghadhabu za ghafla nikakosa tafakuri
Jr[emoji769]
Mpaka matango fc walimkubali sanaLunyamila alisifika na kuimbwa hadi nchi za jirani.
Katika kufuatilia kwangu mpira wa bongo Lunyamila (Edybil Jonas) ni kati ya mastraika niliowakubali sana.