Huyu Mama leo hii akipatwa na msiba wa mtu wake wa karibu, hizo comments mitandaoni, zitakuwa ni msiba wa pili kwake

Huyu Mama leo hii akipatwa na msiba wa mtu wake wa karibu, hizo comments mitandaoni, zitakuwa ni msiba wa pili kwake

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Watu wakiwa kwenye madaraka, wanajisahau kabisa kuwa nao ni binadamu tu kama wengine na yote yanayowapata binadamu wengine (magonjwa, vifo, n.k), na wao yanaweza kuwapata wakati wowote wakiwa madarakani na hata baada ya kuondoka madarakani.

Ni bahati mbaya sana, huyu Mama anaongea utadhani yeye madhila ya kufiwa kamwe hayatamkuta anasahau kuwa hata aliemtangulia, hivi sasa teyari ni marehemu japo na yeye alikuwa na kiburi.

Asilolijua ni kuwa, kauli anazotoa leo hii, watu wanaziweka kwenye kumbukumbuku katika mioyo yao na hata tecknolojia nayo haimuachi salama katika kutunza kumbukumbuku hizo.

Hivyo, kesho na keshokutwa yakimpata, watu badala ya kuhuzunika nae, wataanza kumkumbusha jinsi alivyokuwa ana kejeli vifo na misiba ya watu wengine na hakika kejeli atazokutananazo, kwake zitakuwa ni msiba mwingine.

Mwisho, asisahau kuwa Mungu ni fundi sana.
 
Watu wakiwa kwenye madaraka, wanajisahau kabisa kuwa nao ni binadamu tu kama wengine na yote yanayowapata binadamu wengine (magonjwa, vifo, n.k), na wao yanaweza kuwapata wakati wowote wakiwa madarakani na hata baada ya kuondoka madarakani.

Ni bahati mbaya sana, huyu Mama anaongea utadhani yeye madhila ya kufiwa kamwe hayatamkuta anasahau kuwa hata aliemtangulia, hivi sasa teyari ni marehemu japo na yeye alikuwa na kiburi.

Asilolijua ni kuwa, kauli anazotoa leo hii, watu wanaziweka kwenye kumbukumbuku katika mioyo yao na hata tecknolojia nayo haimuachi salama katika kutunza kumbukumbuku hizo.

Hivyo, kesho na keshokutwa yakimpata, watu badala ya kuhuzunika nae, wataanza kumkumbusha jinsi alivyokuwa ana kejeli vifo na misiba ya watu wengine na hakika kejeli atazokutananazo, kwake zitakuwa ni msiba mwingine.

Mwisho, asisahau kuwa Mungu ni fundi sana.
Wazuri hawafi.
 
Yaani hapo ndo atajua maumivu ha watanzania yapoje! Katika comments 50k kwenye ukurasa wa Millard Ayo utakutana na comments 2k za Pole ila zingine ni mfano wa sherehe tena sherehe kubwa sana.
 
Yaani hapo ndo atajua maumivu ha watanzania yapoje! Katika comments 50k kwenye ukurasa wa Millard Ayo utakutana na comments 2k za Pole ila zingine ni mfano wa sherehe tena sherehe kubwa sana.
Mungu atajibu tu kilio hiki cha watanzania.
 
Watu watakunywa bia na kufanya sherehe.

Mtoto wake Abdul anampenda sana ?

Farao alimpenda sana mwanae lakini ulipofika wakati kiza kilitanda katika nyumba ya farao lakini usiku huo huo uligeuka nuru na shangwe kwa watumwa.
 
Na MUDA SI MREFU MUNGU ATAINGILIA KATI ILI KULIPONYA TAIFA JUU YA UTEKAJI NA UUWAJI WA WATU
 
Back
Top Bottom