Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

USHAUR wako ntauzingatia Sana mkuu[emoji4][emoji120]
 
Inaonekana mdogo mtu yupo tayari kushea na dadake sijajua dadamtu sasa! Kama vipi mkuu DeepPond Siku siku mnapiga bonge la threesome ***** nahizo rough zako uuwiiiiiiii!
 
Kaka huyo sio mke wako...mke uliyefunga nae ndo ndio atleast unaweza kuvumilia na kupambana na changamoto zake ingawa sio to that extent...Alafu fair advise,kwakua umemention kuwa huwa unakula kwake angalia asijekua ameroga we unajiona mzima,sio kawaida mwanaume kuvumilia sarakasi za hivyo toka kwa mchepuko asee.
 
Inaonekana mdogo mtu yupo tayari kushea na dadake sijajua dadamtu sasa! Kama vipi mkuu DeepPond Siku siku mnapiga bonge la threesome ***** nahizo rough zako uuwiiiiiiii!
Kuna mahali nilikaribia kuwapiga threesome, maan walikua uchi wote on the same bed.

Hebu jitahd upitie pitie Uzi vizur, nmeeleza kila kitu humo dada angu mahondaw [emoji4]
 
Kama ndivyo unafaa kuwa mchepuko wangu
Yani mimi sina shida kabisa ilimradi unajali familia na kuihudumia kama kawaida.. halafu mimi sipendagi mikikimiki kitandani so hizo kukurukakara sijui sarakasi zako malizeni hukooo kwa vininti vyenye stamina huku tunafanya kidogo tu kwa afya!
 
Inaonekana mdogo mtu yupo tayari kushea na dadake sijajua dadamtu sasa! Kama vipi mkuu DeepPond Siku siku mnapiga bonge la threesome ***** nahizo rough zako uuwiiiiiiii!
Kimazingira Dogo Hana noma
Dada mtu sidhani maana Kama angekua vile asingenizuia kusex nae kwenye Kitanda Cha mdg wake[emoji4]
 
Sio sawa ila ndio uhalisia wenyewe!
Mtu Kuukataa uhalisia Ni sawa na mbio za kujaribu kukikimbia kivuli chako mweyewe.

Inakua Ni sawa na kujilisha upepo,
Cha muhimu, mtu unatakiwa kuishi kwenye ile misingi yako ulojiwekea.[emoji4]
 
Kimazingira Dogo Hana noma
Dada mtu sidhani maana Kama angekua vile asingenizuia kusex nae kwenye Kitanda Cha mdg wake[emoji4]
Yote kwa yote sababu yaeza kua kwakua unaonekana una uchumi mzuri pia ni mtoaji mzuri ukiongeza huo umafia kwa bed awwwwwwww! Watake nini kingine!πŸ™„πŸ™ƒ
 
Kabisa.. ila huyo mwanamke usipojisimamia atakupelekesha sana
Mtu Kuukataa uhalisia Ni sawa na mbio za kujaribu kukikimbia kivuli chako mweyewe.

Inakua Ni sawa na kujilisha upepo,
Cha muhimu, mtu unatakiwa kuishi kwenye ile misingi yako ulojiwekea.[emoji4
 
Af nyie wavulana mjiheshimu! Hamna mtu mwenye akili zake timamu anaweza kupoteza muda wake kuandika uongo huku! Pumbavu sana wewe mtoto!
Tatizo Washazoea kukutana na visa vya kubumba[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…