USHAUR wako ntauzingatia Sana mkuu[emoji4][emoji120]Kosa lako una sifa Kama kak ang fln HV wew kila kitu unamshitikisha mwanamke Tena mchepuko. Kijenga usinge mshirikisha ungemaliza kujenga alfu unamwambia kuwa kuna nyumba nimepata ambayo Ni kod nafuu San utahamia Ila asijuwe Ni yako siku ya siku atakuja kukuuwa ufe na watot wako watezeke
Ila acha ushenzi na ufala hyo paluchi umewekewa dawa you will thank me later
Sio sawa ila ndio uhalisia wenyewe!Kwa hiyo mtu wako akiwa na mchepuko wewe unaona ni sawa
Kama ndivyo unafaa kuwa mchepuko wanguSio sawa ila ndio uhalisia wenyewe!
Inaonekana mdogo mtu yupo tayari kushea na dadake sijajua dadamtu sasa! Kama vipi mkuu DeepPond Siku siku mnapiga bonge la threesome ***** nahizo rough zako uuwiiiiiiii!Dada angu mahondaw
Kwa hisani ya mkuu Tipstipstor.
Jamaa kanielewa vizur Sana[emoji4][emoji116]
Pond kama Pond.... Mwana nakukubali sana kwa uandishi uliotukuka hiyo ni story inayotosha kutengenezewa movie kabisa...yaani nasoma huku taswira inajijenga akilini.
Ushauri wangu ni hivi nilichogundua huyo mwanamke ni malaya tu kama malaya wengine...tunawaita ni gold digger. She only needs you to solve her problems ila mapenzi ya kweli na wewe hana ..na kikubwa kinachokuponza ni HURUMA NA NYEGE....Nothing else!!!
Ukiwa na pesa unagombana nae....mnakaushiana ila unarudisha majeshi baada ya mwanamke kumwaga MACHOZI.. Hapa unaingia huruma na pia NYEGE zako zinakupeleka umgegede upya na hapo mnarudisha mahusiano.
Ukiwa "huna pesa" au umepunguza huduma kwake , mwanamke ANAKUKATAA ,ANAKUBEZA na KUKUKASHIFU....Solution unayoona hapa ni kumuharibia mitikasi yake ili umrudishe katika msoto ambao mwisho wake anarudi tena kutoa MACHOZI..hapa HURUMA inakurudia tena na kutokana umemiss shoo zake NYEGE zinakurudisha kuanza nae mahusiano yenu upya.
Kiufupi hii ni Viscious cycle ya SHIDA,HURUMA na NYEGE....hakuna mapenzi baina yenu ila mpo kwa ajili ya mutual benefits...yaani wewe umtatulie matatizo yake ya kiuchumi na wewe akutatulie shida zako za kimwili ila MAPENZI na HURUMA baina yenu HAKUNA.
Kikubwa brother Pond wewe endelea kupambana na janga lako...umeshalichuma huna budi kulila peke yako.
Kikubwa wanaume huwa tunapenda maisha ya changamoto...ukiwa huna changamoto za kiuchumi basi utatafuta changamoto za kimapenzi.
Pia wengi tunaenda nje ya title au ushauri aliouomba mleta uzi. Wengi tunajibu tofauti na tulivyoulizwa, Mleta uzi hajasema kuwa anaomba ushauri aachane na mchepuko wake. Alichotaka ni tumshauri aupe taarifa mchepuko wake kuwa anatoka na shemeji yake au laa ?
Mi jibu ni moja tu USIMWAMBIE , Wewe endelea kuzichakata zote mbili kwa nyakati tofauti.Mdogo mtu anaonekana kuwa anajielewa na hii inaonekana kiwango chake cha elimu kipo juu kuliko dada yake. So anajielewa na anaweza kuendelea kuficha mahusiano yake na yako ila za mwizi ni arobaini , either zikutwe sms zako kwenye simu ya mdogo wake au MIMBA ije iwaumbue..
Nawasilisha.
Kaka huyo sio mke wako...mke uliyefunga nae ndo ndio atleast unaweza kuvumilia na kupambana na changamoto zake ingawa sio to that extent...Alafu fair advise,kwakua umemention kuwa huwa unakula kwake angalia asijekua ameroga we unajiona mzima,sio kawaida mwanaume kuvumilia sarakasi za hivyo toka kwa mchepuko asee.Sio dhaifu Kama unavonifikiria,
Ningekua dhaifu ningeshamkimbia MDA Sana, tuna miaka 3 na sarakasi zake ndo Kama hizo hizo kila Mara.
Mwanaume dhaifu Ni yule anayekimbia changamoto. Ntaacha wangapi Sasa?
Uyu mwanamke kwangu Ni changamoto sana, Kama Mwanaume imara sipaswi kuzikimbia changamoto.
Nabanana nazo hivo hivo mpaka kinaeleweka.
Uyu acha Naishi Naye hivo hivo BAMPA to BAMPA tuoneshane makali[emoji4]
Hahahaaa...!Kama ndivyo unafaa kuwa mchepuko wangu
Kuna mahali nilikaribia kuwapiga threesome, maan walikua uchi wote on the same bed.Inaonekana mdogo mtu yupo tayari kushea na dadake sijajua dadamtu sasa! Kama vipi mkuu DeepPond Siku siku mnapiga bonge la threesome ***** nahizo rough zako uuwiiiiiiii!
Fungua PM yakoHahahaaa...!
Af nyie wavulana mjiheshimu! Hamna mtu mwenye akili zake timamu anaweza kupoteza muda wake kuandika uongo huku! Pumbavu sana wewe mtoto!Chai
Yani mimi sina shida kabisa ilimradi unajali familia na kuihudumia kama kawaida.. halafu mimi sipendagi mikikimiki kitandani so hizo kukurukakara sijui sarakasi zako malizeni hukooo kwa vininti vyenye stamina huku tunafanya kidogo tu kwa afya!Kama ndivyo unafaa kuwa mchepuko wangu
Kabisa mkuuAna mfululiza sio mchezo, hampi pumzi mkewe[emoji4]
Kimazingira Dogo Hana nomaInaonekana mdogo mtu yupo tayari kushea na dadake sijajua dadamtu sasa! Kama vipi mkuu DeepPond Siku siku mnapiga bonge la threesome ***** nahizo rough zako uuwiiiiiiii!
Una zawadi yangu eehhh haya lemme open for you!πFungua PM yako
Mtu Kuukataa uhalisia Ni sawa na mbio za kujaribu kukikimbia kivuli chako mweyewe.Sio sawa ila ndio uhalisia wenyewe!
Mbona najua Ilo MDA sana dada angu,
sema ndo vile nishajitune naishi Naye kwa akili Kama tulivoagizwa[emoji4]
Yote kwa yote sababu yaeza kua kwakua unaonekana una uchumi mzuri pia ni mtoaji mzuri ukiongeza huo umafia kwa bed awwwwwwww! Watake nini kingine!ππKimazingira Dogo Hana noma
Dada mtu sidhani maana Kama angekua vile asingenizuia kusex nae kwenye Kitanda Cha mdg wake[emoji4]
NasubiliaUna zawadi yangu eehhh haya lemme open for you!π
Mtu Kuukataa uhalisia Ni sawa na mbio za kujaribu kukikimbia kivuli chako mweyewe.
Inakua Ni sawa na kujilisha upepo,
Cha muhimu, mtu unatakiwa kuishi kwenye ile misingi yako ulojiwekea.[emoji4
[emoji3][emoji16][emoji16]kabisaaaHuyo ni Certified mchepuko!