Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Usimwambie ukweli kaka. Halafu hiyo nyumba unayojenga wakulungwa hatujakuelewa. Ni kwamba umemjengea yeye au unajenga nyumba yako Kwa majina yako halafu yeye anakaa Tu?
 
Usimwambie ukweli kaka. Halafu hiyo nyumba unayojenga wakulungwa hatujakuelewa. Ni kwamba umemjengea yeye au unajenga nyumba yako Kwa majina yako halafu yeye anakaa Tu?
Plan Ni yeye akae TU,
Documents zote Ni kwa jina langu[emoji4]
 
Ana camel toe, ana utelezi mwingi ana maji lazima unase rafiki yangu, pole nimesoma yote hadi kulowana, unaonekana mbabe sana wewe juu ya kitanda

Ushauri wangu achana na huyo mchepuko atakuharibia sana pole rafiki
Be realistic mkuu anaanzaje kumuacha? Hawezi kumuacha
 
Be realistic mkuu anaanzaje kumuacha? Hawezi kumuacha
Kwakweli kumuacha labda mungu aingilie Kati.
Kile kidude kinyofolewe pale katikati kikatupwe mbali kule[emoji4]
 
Kuna akili inaniambia hii ni chai tu, tafuta chapati mbili kabla haijapoa...

Kuna akili inaniambia hii ni kisa cha kweli, kwa jinsi ulivyokisimulia...

Sasa iwe kweli au chai, mkuu usitumie kichwa kufugia nywele tu...
Mkuu we Chadema nn? Kila kitu unahisi umepigwa.
 
Mnyooshe lakini usimwambie kama umemla dogo lake[emoji23]
Wengi hapa wamenishaur hivo, ntakeep Hii secret.

Maana nmeona itakuja mletea madhara pia Dogo mwyw, kimahusiano na dada ake.

Maana ake Ntakua Kama nmetia doa flan la mgogoro kwny familia yao[emoji4]
 
Wengi hapa wamenishaur hivo, ntakeep Hii secret.

Maana nmeona itakuja mletea madhara pia Dogo mwyw, kimahusiano na dada ake.

Maana ake Ntakua Kama nmetia doa flan la mgogoro kwny familia yao[emoji4]
Ni kweli utakuwa utata mkubwa,dogo atakuwa katika wakati mgumu
 
Mkuu we Chadema nn? Kila kitu unahisi umepigwa.
[emoji1787][emoji1787]Nmemkumbuka marehem jpm akiwalaumu chadema.

Eti wao kila kitu Ni kupinga, Hadi bajeti ya maji nayo wanaipinga.

Afu maji yasipopelekwa wanailaumu serikali haijapeleka maji kwa wananchi wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…