Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Tatizo unataka kushindana nae alaf yeye kaishajua uwez muacha. Dawa we jitoe usimfanyie baya lolote kama mwanzo bali focus kwenye ujenzi malizia hio nyumba upangishe ashangae watu wanaamia tu hii itamfanya atambue kuwa yeye ndio alikuwa anakuchelewesha. Mbinu nzuri ya kupapambana mwanamke wa aina hio nikumuinesha kuwa unaweza fanya mambo makubwa pasipo yeye
Kuhusu mdogo ake we mchane live kuwa umeachana dada ake na utaki kusikia tena kitu kuhusu dada ake, endelea kula kimya kimya maana umeisha nogewa nae ila ni vizuri kama hizo nyegr ungewekeza kwa mkeo
 
We jamaa huyo mchepuko alikuroga si bure..maudhi yote hayo
 
We mjinga unaandika aisee....kama movie yan
 
Huyu kwa hyo sex anapata hawez kamweeee kumuacha huyo mchepuko. Labda akimzalisha ndo anaweza kumpotezea ila kwa hivi hivi hawezi. Akishamnunia tu anakumbuka sex anarudi mwenyewe
 
Huyu kwa hyo sex anapata hawez kamweeee kumuacha huyo mchepuko. Labda akimzalisha ndo anaweza kumpotezea ila kwa hivi hivi hawezi. Akishamnunia tu anakumbuka sex anarudi mwenyewe
Sasa huo udhaifu ndio kifo chake
 
Kuna kitu ujaelewa bado[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha...
Kwakweli kanikamata[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila bro katika haya maisha ogopa sana mwanamke asiye na akili...mwenye mentality ya kiswahili swahili kama mchepu wako.
Utateseka sana.
Mimi binafsi ninavutiwa na mwanamke mwenye akili...hawa ninyi mlio wengi mnawaogopa kwa misimamo yao lkn ni watamu sana...hatakuangusha kwa ujinga kama huyo kilaza wako;
1. Anapata bwana mpya anaanza kukupiga vijembe?
2. Anadaiwa kodi anaanza nyodo?
3. Umeibiwa haoni shida anataka pesa tu?
4. Unamtafutia kazi anakudharau?
Mimi mtu wa aina hiyo naona kinyaa kuingiza mtura wangu kwake kabisa.
Kwanini usitulizane upate mrembo smart kichwani? ..hutojuta hata siku moja.
Huyo fala wako ipo siku atakuua kwa presha au sumu
 
Wanawake wengine bana, yaani hata hawafikirii nyuma wala mbele wao wanawaza leo leo.
Kitendo cha kumegwa wakati wewe ndio unamhudumia ni dharau kubwa..na bado ukarudia matapishi ukapiga tena !!!!..ATAKUUA HUYO....kumbuka anazeekea kwako huyo...PIGA CHINI
 
Kuna kitu ujaelewa bado[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda mkuu na may be nieleweshe lakini naamini nimeelewa vizuri na kiukweli man almost every man ana mchepuko but wewe mazee unapelekeshwa mpaka nahisi may be umepata limbwata kama kweli watu wanalishwaga! Mkuu komaa na biashara zako piga chini hiyo manzi itakuja Kukulostisha maisha
 
Hebu Soma kwanza michango ya mkuu Tipstipstor utaelewa nn namaanisha.

Jamaa ni miongon mwao walionielewa sana Sana kwny huu Uzi[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Tipstipstor na dada angu mahondaw na wengineo najua nyie Ni miongon mwa wengi mlionielewa sana humu.

Nisaidie kumfafanulia mlivouelewa huu Uzi[emoji4]

Natanguliza shukran[emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti mtura ...hehe nyie jf kuna lugha hukuu...
DeepPond umesoma hapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…