Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
$100,000 x 2250 =Mzee hiyo ni milioni 200 na chenji kibao.
Chuna namfanyia marketing Tangazo lake.
Sisi chawa huwa tuna kawaida ya ku applify mambo..!!
Ndio Kazi iliyotuleta mjini.
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
$100,000 x 2250 =Mzee hiyo ni milioni 200 na chenji kibao.
Ni $100,000 * 2250 =Una uhakika 10,000USD ni 200b TZS?
We jamaa huyo mchepuko alikuroga si bure..maudhi yote hayoSasa tukaenda hivo hivo kwa utulivu mwezi tena na zaidi na mchepuko wangu uyu akiwa vile vile Kama mama wa nyumban.
Baadae nikapata wazo la kumtaftia Cha kufanya.
Nikazungumza na rafiki angu mmoja anapetrol station yake pale pale mjini, akakubali na kumpachika pale Kama muuzaji.
Mshahara Ni 200,000 kwa mwezi na posho ya sh elfu 10 kwa siku.
Basi akasainishwa mikataba na kuanza kazi haraka
Sasa haukukaa MDA mrefu Sana wife nae akawa karudi home. Sasa zile ratiba za kua nae Sana nikaanza kupungua.
Nikienda Ni jioni sana afu sikai Sana saa 4 TU usiku naaga naondoka zangu, akawa Kama anachukizwa ila nikamwambia avumilie TU, tukaenjoy akishakujua MKE mdg rasmi.
Siku moja nikiwa nae chumban, akanielkeza kua tarehe 20 ndo mwisho wa Kodi yake.
Kwaiyo niandae kodi mwenye nyumba kamtumia meseji kumkumbushia.
Nikamwambia sawa, haina shida nitalipia ikifika Iyo Tarehe.
Basi katika kuzichanga changa karata zangu kwenye biashara zangu, mambo yakayumba kiasi.
Ilipofika Tarehe 18 ikabd nijisalimishe nimwambie amfahamishe mwenye nyumba wake kua kodi yake ntampa mwisho wa mwezi.
Akasema labda nimwambie Mimi yeye anamuogopa, nikamwambia basi nipe namba yake ntamweleza mwenyewe.
Akanipa namba zake,
Nikampigia Nikamwelekeza kua "mambo yang kidg hayajakaa sawa naomba nikulipe Kodi yake yote ya miez 6 ifkapo Tarehe 30 mwezi huu"
Akasema,
"Anashida nayo Sana, Kuna mwanae anatakiwa mlipia Ada"
Nikamwambia
"haina shida, ila Kaka Unaharaka Sana iyo keshokutwa nikuingizie ya miez 3 Kisha tar 30 nikumalizie ya miez 3 mingine tumalizane"
Akasema,
"Kama unauhakika ngoja tusubiri iyo tar 30 uniingizie yote"
Nikasema "sawa" na tukaagana Kisha nikampa mrejesho mchepuko wangu akasema sawa.
Sasa ile kufika tar 23 akanipigia sim kua, ananipa hai. Katikati ya maongez ananiulizia Kodi ya watu vipi?
Nikamwambia
"kwani juz nilikwambia nn, SI nilishasema kua Kodi italipwa tar 30"
Akasema,
"Mwenye nyumba katuma Tena sms anakumbushia Deni" nikasema hebu nimpigie.
Kumpigia mwenye nyumba akasema hizo sms itakua imemuendea yeye bahat mbaya,Tushaongea amenielewa.
Hizo sms huwa anatuma kwa wapangaji wake wote kuwakumbusha Kodi.
Basi nikamrudishia majibu mchepuko, akasema kanielewa.
Kufika Tena Tarehe 26 kanipigia kua Kuna kijana katumwa ya kodi, katumwa na baba ake.
Nikamwambia hebu nimpigie uyo mzee anatuma mtu wkt nishamuelekeza kua Kodi yake atapewa tar. 30
Mzee akanipa mrejesho kua,
Uyo kijana wangu wa kwanza nilishampa maelekezo akafatilie Kodi zote hata kipind kabla hatujawasiliana. Kwaiyo Ni taarifa TU kumemix mambo. Basi nikasema sawa na kumrudishia maelekezo mchepuko.
Akasema kanielewa
Tarehe 28 mchana nikiwa KAZIni, akanipigia Tena kua Yule Dogo pale nyumban kamweleza kua Yule kijana was siku ile karudi kudai ela ya Kodi, nikamwambia uyo kijana mpuuze nishaongea na mzee wake tushakubaliana Kodi italipwa tar. 30
Akataka tuongee mengi, nikamkatisha kua
"Aisee Niko bize. Nishasema uyo mpuuze Kama Kuna lakuongea Tutaongea zaid jion nikisharudi." Kisha nikakata Simu.
Akatuma sms,
"Maisha gan Aya nafuatwa fuatwa nkila Mara nadaiwa Kodi, kama uwezo wa kulipa Hii nyumba Ni shida kwako ungesema tangu mwanzo kuliko hivi nnavodhalilika hivi"
Nikamjibu,
"Nishasema nisubiri jioni"
Akasema,
"Nishachoka Mimi, uyu kijana kagada hapa hatoki bila kodi. Maisha gani haya nadhalilika mimi"
Nikamwambia,
"Kua mwelewa Basi, usitake kunikera"
Akasema,
"Yaan Kodi ya watu Leo nakukera, wee Kama unaona KERO lips TU iyo Kodi ya watu uone Kama kunamtu atakusumbua. Vinginevyo useme umeshindwa USAIDIWE"
Nikauliza,
"Unamaana gan kusema NISAIDIWE"
Akasema,
"Ambacho hujaelewa Ni kipi hapo, kama huwezi kulipa sema WANAUME WENZIO WAKUSAIDIE"
Nikasema,
"Sawa TU haina shida"
Basi moyoni nikajua ni masihara, tukawa tumenuniana hivyo mpk tar 30 ilipofika.
Inaendelea....
Huyu kwa hyo sex anapata hawez kamweeee kumuacha huyo mchepuko. Labda akimzalisha ndo anaweza kumpotezea ila kwa hivi hivi hawezi. Akishamnunia tu anakumbuka sex anarudi mwenyeweTatizo unataka kushindana nae alaf yeye kaishajua uwez muacha. Dawa we jitoe usimfanyie baya lolote kama mwanzo bali focus kwenye ujenzi malizia hio nyumba upangishe ashangae watu wanaamia tu hii itamfanya atambue kuwa yeye ndio alikuwa anakuchelewesha. Mbinu nzuri ya kupapambana mwanamke wa aina hio nikumuinesha kuwa unaweza fanya mambo makubwa pasipo yeye
Kuhusu mdogo ake we mchane live kuwa umeachana dada ake na utaki kusikia tena kitu kuhusu dada ake, endelea kula kimya kimya maana umeisha nogewa nae ila ni vizuri kama hizo nyegr ungewekeza kwa mkeo
[emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]Mzushi tu yule,
Ata Usimtilie maaanani Sana[emoji4]
Sasa huo udhaifu ndio kifo chakeHuyu kwa hyo sex anapata hawez kamweeee kumuacha huyo mchepuko. Labda akimzalisha ndo anaweza kumpotezea ila kwa hivi hivi hawezi. Akishamnunia tu anakumbuka sex anarudi mwenyewe
Ha ha ha...Kwa kifupi tu best angu HUPINDUI KWA HUYU DADA NA ANAJUA NA UBAVU WA KUMUACHA HUUUUUUUUNA.
Neeeeeeexxxxtttt.
Kuna kitu ujaelewa bado[emoji4]Nimesoma story yako yote mkuu, honestly wewe mwenyewe unahitaji tiba! Maana pia wewe hujielewi na akili zako zimeshikwa na huyo mwanamke ndo maana unaisumbukia sana hiyo mbususu! Kwani kuachana naye for good ni shi-ngapi mkuu? Yanini kuhangaika hivo? In short Unafanya harakati za pimbi hapo if you know pimbi ni nini! Concentrate kwenye biashara zako very soon hiyo mbususu itakufanya ujute maisha!
Aya Mambo aya[emoji848],[emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]
Lakini ina nguvu we si unaona unafukuzwa weeeee ila ukiikumbuka tu unarudii
Ila bro katika haya maisha ogopa sana mwanamke asiye na akili...mwenye mentality ya kiswahili swahili kama mchepu wako.
Kitendo cha kumegwa wakati wewe ndio unamhudumia ni dharau kubwa..na bado ukarudia matapishi ukapiga tena !!!!..ATAKUUA HUYO....kumbuka anazeekea kwako huyo...PIGA CHINIWanawake wengine bana, yaani hata hawafikirii nyuma wala mbele wao wanawaza leo leo.
Labda mkuu na may be nieleweshe lakini naamini nimeelewa vizuri na kiukweli man almost every man ana mchepuko but wewe mazee unapelekeshwa mpaka nahisi may be umepata limbwata kama kweli watu wanalishwaga! Mkuu komaa na biashara zako piga chini hiyo manzi itakuja Kukulostisha maisha
Hebu Soma kwanza michango ya mkuu Tipstipstor utaelewa nn namaanisha.Ila bro katika haya maisha ogopa sana mwanamke asiye na akili...mwenye mentality ya kiswahili swahili kama mchepu wako.
Utateseka sana.
Mimi binafsi ninavutiwa na mwanamke mwenye akili...hawa ninyi mlio wengi mnawaogopa kwa misimamo yao lkn ni watamu sana...hatakuangusha kwa ujinga kama huyo kilaza wako;
1. Anapata bwana mpya anaanza kukupiga vijembe?
2. Anadaiwa kodi anaanza nyodo?
3. Umeibiwa haoni shida anataka pesa tu?
4. Unamtafutia kazi anakudharau?
Mimi mtu wa aina hiyo naona kinyaa kuingiza mtura wangu kwake kabisa.
Kwanini usitulizane upate mrembo smart kichwani? ..hutojuta hata siku moja.
Huyo fala wako ipo siku atakuua kwa presha au sumu
Mkuu Tipstipstor na dada angu mahondaw na wengineo najua nyie Ni miongon mwa wengi mlionielewa sana humu.Labda mkuu na may be nieleweshe lakini naamini nimeelewa vizuri na kiukweli man almost every man ana mchepuko but wewe mazee unapelekeshwa mpaka nahisi may be umepata limbwata kama kweli watu wanalishwaga! Mkuu komaa na biashara zako piga chini hiyo manzi itakuja Kukulostisha maisha
Eti mtura ...hehe nyie jf kuna lugha hukuu...Ila bro katika haya maisha ogopa sana mwanamke asiye na akili...mwenye mentality ya kiswahili swahili kama mchepu wako.
Utateseka sana.
Mimi binafsi ninavutiwa na mwanamke mwenye akili...hawa ninyi mlio wengi mnawaogopa kwa misimamo yao lkn ni watamu sana...hatakuangusha kwa ujinga kama huyo kilaza wako;
1. Anapata bwana mpya anaanza kukupiga vijembe?
2. Anadaiwa kodi anaanza nyodo?
3. Umeibiwa haoni shida anataka pesa tu?
4. Unamtafutia kazi anakudharau?
Mimi mtu wa aina hiyo naona kinyaa kuingiza mtura wangu kwake kabisa.
Kwanini usitulizane upate mrembo smart kichwani? ..hutojuta hata siku moja.
Huyo fala wako ipo siku atakuua kwa presha au sumu
🙏🙏🙏 Ngoja nitulie nimuelewesheMkuu Tipstipstor na dada angu mahondaw na wengineo najua nyie Ni miongon mwa wengi mlionielewa sana humu.
Nisaidie kumfafanulia mlivouelewa huu Uzi[emoji4]
Natanguliza shukran[emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app