Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Ila wanaume mhh kiboko aisee!!! Achana nae stress akupe mkeo bwana sio mchepuko, halafu mchepuko unakudanga tu wala hakupendi ukisikia mtu kitu ndio huyo sasa... ila Jamani hujionei huruma kweli mbona majukumu mengi hivyo.. hebu waache basi
Ukiingiaga kutoka yataka moyo, japo jamaa naye amezidi
 
Kijana, mshahara wa dhambi ni mauti; mauti inaweza kuwa kwako, kwa mkeo au mchepuko wako. Hebu jaribu kupitia gharama ambazo umeshaingia kwa ajili ya huyo mchepuko, mkeo, watoto na nduguzo wanaotegemea msaada wako, umewagharimu kiasi gani. Umeoiteza muda, pesa na mahusiano. TAFAKARI.

Vv
 
Kwa habari ya ndg zake hwana mikono?
 
Ila mkuu una moyo wa huruma au sijui una nyege mshindo.
Naomba niwe mchepuko wako mi wala sio msumbufu kama huyo
 
Mwacheni mwenzenu atumie pesa zake anavyopenda as long as anazitafuta mwenyewe.After all, amesharidhia anapata kitu rohooo inapendaaa.

Pia, una uhakika gani kama ndugu zake hawasaidii?
 
Mwacheni mwenzenu atumie pesa zake anavyopenda as long as anazitafuta mwenyewe.After all, amesharidhia anapata kitu rohooo inapendaaa.

Pia, una uhakika gani kama ndugu zake hawasaidii?
Bora hata umenisaidia kumjibu, ni mda Sana nilikua nawaza nimjibu kitu gan[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pale ulipopanga kubuibia million 5 ndo uliponisanua kumbe wewe ni mtunzi na sio story ya kweli

By the way upo vzr kwenye kuonyesha uhalisia
 
nimeamini kweli inzi hufia kwenye kidonda.
mr. deepPond. umezama aisee. well hamna ushauri utakaokufaa. nachotaka kukwambia huyo sio mtu mzuri kwako hasa kimaendeleo anajari upande wake tu.
bora mdogo mtu jaribu kuweleza huko.
cha pili. mheshimu sana mkeo kakuvumilia sana na amekupa uhuru mno
 
Huyo mchepuko wako ana mapepo!!!!!

Fuatilia comments za wana JF.
 
Hiiiiiiiii,hiii sio bure itakuwa umerogwa mwanangu
Hiiiiiii,hiiiii,sio bure utakuwa umelishwa nyama ya bundi
 
Ni Kias TU,
Pale Cha muhimu Lengo lilitimia, nafs yang ikasuuzika na heshima ikarudi kwa msoto ule[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapo heshima ilirudije wakati hamjakaa kidogo ameshakuzuilia mlangoni yaani huyo demu sio bure kakuweka kiganjani alafu lidemu linaonekana kwao choka mbaya linafeki maisha tu,
 
Sasa hapo ndio umejiroga mwenywe bila ya mganga UNAMPENDAAA SANAAA .Najua wazi unataka umuweke katika line yako unayotaka ili umuoe lkn huyo demu bado hajajitambua ,mimi nafikiri mueke kiti moto umueleze ukweli nia yako na matarijio yenu ya mbele ili upate kula sambusa zako kiulaini na halali zaidi ya hapo huyo demu atakuchezea sana sababu na yeye anaangalia life yake anoogopa any time unaweza kumpiga na chini.
 
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]! Kweli mmetofautiana aseeh!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…