Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Sina wazo la kumuoa, tengua iyo kauli mkuu[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini na wewe ni mbinafsi sana aisee!ni fundi ni mtamu so abaki kukupa utamu miaka nenda miaka Rudi yeye hahitaji kua na familia?hizo sifa ulizompa ndo mazuri yake kama hata kwa mkeo umekosa mwoe tu ili uendelee kuupata huo utamu forever.
 
Lakini na wewe ni mbinafsi sana aisee!ni fundi ni mtamu so abaki kukupa utamu miaka nenda miaka Rudi yeye hahitaji kua na familia?hizo sifa ulizompa ndo mazuri yake kama hata kwa mkeo umekosa mwoe tu ili uendelee kuupata huo utamu forever.
Sio ubinafsi,
Uyu Bado Niko Naya Sana[emoji4]

Sio kila mwanamke kaumbiwa kuolewa, wengine wameumbwa kua MCHEPUKO[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uzi mzuri kinyoko...afu sio storee ya kutunga hii, ni uhalisia kabisa!
 
Halafu baadaye utataka sisi wengine tuje kumuoa huyo shemeji yako JF watu wabinafsi sana
 
Pale ulipopanga kubuibia million 5 ndo uliponisanua kumbe wewe ni mtunzi na sio story ya kweli

By the way upo vzr kwenye kuonyesha uhalisia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hao wenye akili tatizo lake hawajafundwa hawajui kukata mauno ya paka chongo kitandani...ndio tatizo linalomsumbua DeepPond . Halafu yeye hajaomba ushauri kuwa atemane na mchepuko wako anachotaka ni ushauri kwenu amchane huyo mchepuko au achune tu aendelee kuwatafuna wote wawili?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu tulia nawee, hasa huyo Dp mie cna mbavu hapa, km inanifokea vile.
 
Bora umenisaidia,
Kuna watu wanatoa USHAUR ambao sijaomba[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wife namheshimu Sana, ndo maana sitaki mfanyia jeuri afu najificha Sana asijue nnayofanya uku duniani.

Ukinikuta kwa wife,nlivompole.
Utasema PAROKO mwenyewe uyu apa Yuko Altareni[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…