Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Sina wazo la kumuoa, tengua iyo kauli mkuu[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini na wewe ni mbinafsi sana aisee!ni fundi ni mtamu so abaki kukupa utamu miaka nenda miaka Rudi yeye hahitaji kua na familia?hizo sifa ulizompa ndo mazuri yake kama hata kwa mkeo umekosa mwoe tu ili uendelee kuupata huo utamu forever.
 
Lakini na wewe ni mbinafsi sana aisee!ni fundi ni mtamu so abaki kukupa utamu miaka nenda miaka Rudi yeye hahitaji kua na familia?hizo sifa ulizompa ndo mazuri yake kama hata kwa mkeo umekosa mwoe tu ili uendelee kuupata huo utamu forever.
Sio ubinafsi,
Uyu Bado Niko Naya Sana[emoji4]

Sio kila mwanamke kaumbiwa kuolewa, wengine wameumbwa kua MCHEPUKO[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uzi mzuri kinyoko...afu sio storee ya kutunga hii, ni uhalisia kabisa!
 
Mwenyewe alivoskia joka keshazama ndani, akaanza kutoa ushirikiano wa kutosha. Tukasex kwa MDA mchache kias. Mpk pale yeye alipochoka na kusema "shem mimi apa nmetosheka kabisa, siwez kuendelea. twende home tutafanya siku nyingine Tena"

Nami nikasema "sawa"
Maana nmeshuhudia mwnyw Alikojoa vitatu kabisa, kimoja kwenye masaji, cha pili kwenye clit&dick, chatatu Ni kwenye penetration.

Akaniuliza "vipi wewe?"

Nkamwambia "bado sijakojoa ila kwasababu ya mda, na naona umechoka sn tutafanya siku nyingine. Am okay with that"

Akasema, "Aya, ila usnelewe vibaya plz, nmechoka kweli. MDA ule kwenye masaji ulinichezea Sana ndo maana"

Nkasema, "haina shida naelewa. Worry out bby" uku nikimchum mdomoni.

Basi Tukaenda kuoga, Kisha kuvaa, kumkabidhi chumba na kuondoka kurud kwetu.

Basi baada ya Hapo
Tukawa na chemistry nzur Sana na yule Dogo.ila kisirisiri. Ila Sasa zile status mfululizo za penzi jipya na vijembe vya yule mchepuko vikawa vinazidi nichefua.

Ikabd nifuatilie uyu jamaa anomuweka status Ni Nani na anafanya shughuli gan. Iyo kazi nikampa mdg wake.
Nae akarudisha mrejesho kua uyo jamaa alkua ex wake enz za sekondar, ila kwa Sasa Ni mwalimu wa sekondari uko mkoani, Yuko hapa mjini kujiendeleza kielimu ansfanya masters ktk chuo X.

Basi nikakeep zile information kifuani na nikajua kabisa opponent Kama uyo nammudu kabisa nikiamua kushughulika nae.

Sasa kwa mfulurizo was zile status,
Nikaona uyu mwanamke katangaza Kuanzisha ligi, Uyu jamaa sina tatizo nae. Ngoja nideal na uyu mwanamke mpk ashike adabu.

Basi ikabd nimshirikishe RAFIKI angu Yule mwenye petrol station alomwajiri.

Akaniuliza "Kwan brother wee unaona tumfanyeje nafsi yako iridhike"

Nikasema, "nnachoona wee msimamishe tu kazi, afu akikaa nyumba akifulia najua akili zitamkaa"

Akasema, "kumsimamia mtu bila sababubya msingi hata haikai vizur, kwa jins tulivo close atajua kabisa nmefanya hivo sababu ya ugomvi wako na yeye. Nashaur Tumtaftie kwanza sababu ya kumtia stress kichwa kimuume. Akose kabisa huo MDA wa kuenjoy penz jipya na kurusha hivo vijembe vyake vya status."

Nkasema, "kwaiyo unashaur tufanyeje brother"

Akasema, "Iyo plan iwe Ni kumpa pesa kama 5mil azipeleke benki. Kisha Ntakupa tip, utaseti vijana watamkwapua zile pesa. Kisha Mimi ntajifanya sielewi chochote nnachotaka pesa zangu zirudi NO EXCUSE. Ntashinikiza awekwe ndani kwa uchunguzi mpk Ela irudi. Wee utakuja polisibkama mdhamini ila utakausha kumsaidia chochote. Bila Shaka uyo jamaa wake ndo atakua msaada wake ulobaki. Sasa tutachonga na mkuu we kituo asitoe dhamana kirahisi. Itabd uyo jamaa alipe zile pesa ndo Dem atoke maana ndo mtuhumiwa no. 1 au akaushe Tuendelee kumhenyesha mwanamke. Na nnavomjua mtu wako alivyo na tamaa, jamaa akiingia mitini itakua ndo tiketi ya mwisho ya penzi lao. Wee utakausha TU kimya mpk akupigie magoti, Alie sana. Kisha unachukua pesa utampa akalipe aendelee na kazi. IMEKAAJE IYO BROTHER"

Nkamwambia "perfect[emoji4][emoji106]"


Inaendelea.....
Halafu baadaye utataka sisi wengine tuje kumuoa huyo shemeji yako JF watu wabinafsi sana
 
Pale ulipopanga kubuibia million 5 ndo uliponisanua kumbe wewe ni mtunzi na sio story ya kweli

By the way upo vzr kwenye kuonyesha uhalisia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ila bro katika haya maisha ogopa sana mwanamke asiye na akili...mwenye mentality ya kiswahili swahili kama mchepu wako.
Utateseka sana.
Mimi binafsi ninavutiwa na mwanamke mwenye akili...hawa ninyi mlio wengi mnawaogopa kwa misimamo yao lkn ni watamu sana...hatakuangusha kwa ujinga kama huyo kilaza wako;
1. Anapata bwana mpya anaanza kukupiga vijembe?
2. Anadaiwa kodi anaanza nyodo?
3. Umeibiwa haoni shida anataka pesa tu?
4. Unamtafutia kazi anakudharau?
Mimi mtu wa aina hiyo naona kinyaa kuingiza mtura wangu kwake kabisa.
Kwanini usitulizane upate mrembo smart kichwani? ..hutojuta hata siku moja.
Huyo fala wako ipo siku atakuua kwa presha au sumu
Hao wenye akili tatizo lake hawajafundwa hawajui kukata mauno ya paka chongo kitandani...ndio tatizo linalomsumbua DeepPond . Halafu yeye hajaomba ushauri kuwa atemane na mchepuko wako anachotaka ni ushauri kwenu amchane huyo mchepuko au achune tu aendelee kuwatafuna wote wawili?
 
Nawaona TU mnavopanga mipango yenu ya UGAIDI[emoji3]

Hivi Nyie wanawake lengo lenu niishi maisha mafupi eeeeh?[emoji848]

Uyu nlienae ananipasua KICHWA,
Nikiongeza vivuruge wengine Si ndo kabisa ntavaa boksa kichwani[emoji12]

Ha ha hA....[emoji4]View attachment 2106334

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu tulia nawee, hasa huyo Dp mie cna mbavu hapa, km inanifokea vile.
 
Hao wenye akili tatizo lake hawajafundwa hawajui kukata mauno ya paka chongo kitandani...ndio tatizo linalomsumbua DeepPond . Halafu yeye hajaomba ushauri kuwa atemane na mchepuko wako anachotaka ni ushauri kwenu amchane huyo mchepuko au achune tu aendelee kuwatafuna wote wawili?
Bora umenisaidia,
Kuna watu wanatoa USHAUR ambao sijaomba[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimeamini kweli inzi hufia kwenye kidonda.
mr. deepPond. umezama aisee. well hamna ushauri utakaokufaa. nachotaka kukwambia huyo sio mtu mzuri kwako hasa kimaendeleo anajari upande wake tu.
bora mdogo mtu jaribu kuweleza huko.
cha pili. mheshimu sana mkeo kakuvumilia sana na amekupa uhuru mno
Wife namheshimu Sana, ndo maana sitaki mfanyia jeuri afu najificha Sana asijue nnayofanya uku duniani.

Ukinikuta kwa wife,nlivompole.
Utasema PAROKO mwenyewe uyu apa Yuko Altareni[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom