Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Eehh!wifi kasharidhika Mme achepuke atajua mwenyewe tuhela kidogo anako!ila daahh!shiddda!
Jf waweza chat na mke mwenzio ujue[emoji1][emoji1][emoji1]na hujui!
Karidhika hataki purukushani na mumewe kabisa. Au Ndio ile wanawake wengi tukishawekwaga ndani tunaridhikaga fulani tu nahatimae tunakua wawivu...ingekua wewe ungefanyeje wii??

Hahahaaa kawaida tu Sikuhizi wanasema kushea mabwana ni kawaida kwa wanawake!!😜
Wanaume wenyewe wamelanduka hawa! Bora usijue tu
 
Hapa ndipo ulipokosea ungemweleza mchepuko wako kwamba unamatatizo si ajabu angekusaidia kuwapata majambazi michepuko nayo ina connection.
 
Alomroga kafa hawezi pona huyu!
Ila za mwizi 40 ipo siku watafumwa live utaja nambia...
Halafu mbona hayjatupostia toka jana? Watu tuna genye na hyo update yake
Heheh nnavyomhamasisha ipo siku ntaomba nkawashikie miguu wakitinduana [emoji56][emoji56][emoji56]
 
Unapoteza fedha nyingi sana kwa mtu hasiye na manufaa nawew izo pesa zote ungeshamnunulia mkeo Premio kali kabisa, punguza uzuzu mkuu, heri umle mdogo wake tu
 
hii story ni ya kwako mwenyewe ama!!.
kama ni ya kwako endelea kupata kichapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…