Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Eehh!wifi kasharidhika Mme achepuke atajua mwenyewe tuhela kidogo anako!ila daahh!shiddda!
Jf waweza chat na mke mwenzio ujue[emoji1][emoji1][emoji1]na hujui!
Karidhika hataki purukushani na mumewe kabisa. Au Ndio ile wanawake wengi tukishawekwaga ndani tunaridhikaga fulani tu nahatimae tunakua wawivu...ingekua wewe ungefanyeje wii??

Hahahaaa kawaida tu Sikuhizi wanasema kushea mabwana ni kawaida kwa wanawake!!😜
Wanaume wenyewe wamelanduka hawa! Bora usijue tu
 
Basi usiku mmoja nikiwa nyumban kwangu, nikapigiwa sim na mfanyabiashara mwenzangu kua madukan kwetu kuna majambaz wanaiba.
Nikaamka na kuwaamsha madogo tukiwa watatu usiku wa manane kuelekea uko dukan,
Kabla hata sijafika Nikaskia risasi zinalindima sana.
Ikabd nigeuze niende kituo Cha polisi kuomba msaada, mapolisi sita wakiwa na silaha tukaambatana nao mpk karibu na eneo la tukio.
Kisha wao wakasogea kwa mguu.
MDA SI mrefu zikasikika risasi askali wakirushiana na majambaz.

MDA mfupi kukatulia, askal mmoja akanipigia nije wamekimbia na tukasogea mpk eneo la tukio nkuangalia damage walosababisha majambaz hao.

Nikakuta nikakakuta eneo lile majambazi wamevunja fremu karibu 9 , mlinz wangu kauwawa, wamewajeruhi na kuwafunga tepu mikononi na mdomoni walinzi wengine 2 wa maduka jiran Kisha kuwafungia chooni na wametelekeza pikpik yao moja.

Basi ile mida ya adhana ya alfajr nikawapigia baadhi Watu wangu wa karibu kuwafahamisha kilichotokea uku.
Uyu mchepuko nae nikampigia kumfahamisha nae akanipa pole. Nikasema Asante.
Hatukuongea mengi nikamkatisha tutaongea baadae jion nikija uko maana Kuna watu wengine nilikua natakiwa kuongea nao pale eneo la tukio.

Baada ya pale kwenye mida ya saa 2 asubuh nikahitajika Mimi na wengine wahusika wa eneo la tukio tukatoe maelezo na kufungua jalada la kesi kituo Cha polisi.

Nikiwa polisi kwenye saa 5 asubuh katikati ya mahojiano, Yule mchepuko akanipigia simu, nikaomba radhi nikatoka nje kupokea sim yake.

Akasema, "BBY nikwambie kitu"

Nikajibu "Nambie"

Akasema "Bby nmepata frem nzur Sana eneo x, afu haina hata mambo ya ukarabati. Mwenyewe alkua anauza nguo anashida anauguza anauza kila kitu. Anataka mil. 3 pamoja na Ela ya Kodi yake imebaki miez 2, sh.laki 2"

Nikamjibu,
"Sawa, Tutaongea baadae"
Kisha nikakata simu,

Sijakaa sawa akapiga Tena,
"Mpenz wangu, uyu jamaa anashida Sana. Wee Kama unayo mil. 2 ya HARAKA HARAKA Hapo nipe nimpoze asije mpasia mtu mwingine."

Nikamjibu,
"Nishakwambia Tutaongea baadae, kua mwelewa Basi" Kisha nikakata Simu na kuweka silent mode nikarudi zangu ndani kuendelea na mahojiano.

Baada ya mahojiano kwenye saa 7 mchana,
Nikatoa sim mfukoni nikakuta sms zake 3.
[emoji117]"Mbona umekata mpnz wang?"

[emoji117]"Tunafanyaje Sasa, tusije kuikosa Hii fremu maana naambiwa wanaoitaka Ni wengi"

[emoji117]"Nipe jibu Basi nizuie hii fremu mpenz wangu"

Nikamjibu,
"Nishasema Tutalizungumzia jion nikija uko"

Akasema,
"Aya nakusubiri"

Basi nikatoka polisi na nkarud dukan kuendelea kuhesabu hasara ilopatikana na kuendelea na ukarabati na kuimarisha sehem kadhaa maana mageti yangu 3 yote yalivunjwa vibaya Sana.

Ukarabat ule uliendelea mpk usiku wa manane hivyo kukosa nafas ya kwenda kwa mchepuko.
Hata alivonitafuta saa 4 usiku niligoma kuipokea sim yake maana tayr nishajaa hasira.
Inakuaje soon TU nmetoka kuibiwa, taarifa anayo afu Hana hata utu eti ananiletea habar za amepata fremu anataka million 2 ya haraka HARAKA.
Naitoa wapi milioni 2 ikiwa bado sijajua hatma ya mali nilizoibiwa inakuaje.

Inaendelea...
Hapa ndipo ulipokosea ungemweleza mchepuko wako kwamba unamatatizo si ajabu angekusaidia kuwapata majambazi michepuko nayo ina connection.
 
Alomroga kafa hawezi pona huyu!
Ila za mwizi 40 ipo siku watafumwa live utaja nambia...
Halafu mbona hayjatupostia toka jana? Watu tuna genye na hyo update yake
Heheh nnavyomhamasisha ipo siku ntaomba nkawashikie miguu wakitinduana [emoji56][emoji56][emoji56]
 
Unapoteza fedha nyingi sana kwa mtu hasiye na manufaa nawew izo pesa zote ungeshamnunulia mkeo Premio kali kabisa, punguza uzuzu mkuu, heri umle mdogo wake tu
 
Ikabd nimuulize,
"wee vipi skuhz mbona mbona unalia lia Sana shida za pesa, sio kawaida yako na juz nmetoka kukupa pesa"

Akafunguka kua baada ya dada kua nje ya Kaz, jamaa nae akaingia mitini.
Dada ake akawa anakula na matumiz yote kwa kupitia mgongo wa Dogo. Yaan zile hela ndogo ndogo za matumiz nlizokua Nampa Dogo, kumbe dogo ndo alkua anabajeti wanapika na kula pamoja pale home.
Alinifahamisha kua maisha kwa Sasa kwake Ni magum Sana kuliko nyuma hata performance yake chuon inashuka sana, hakai na kutulia.
Nkamwambia "sawa nmekulewa"

Basi siku zikaenda, mwanamke yule akawa anatuma sana sms za kuomba Sana msamaha nazipotezea.
Anatuma sana RAFIKI zangu, napotezea.
Akipiga sim yake, napotezea.

Siku moja Niko kazin kwangu mchana, Dogo akanipigia sim kua Kuna tatizo niende haraka sana kwa dada ake.
Kufika nje nikakuta kibarazan dogo na majirani wanampa maziwa dada ake, na matapishi kibao pemben yenye vidonge yako Aina tofaut tofauti.
Nkauliza shida nn wakanambia kua uyu alikunywa sumu. Basi nkawaambia wamuingize ndan.
Pale nje sio ustaarabu wanafaidisha TU watu.

Basi ndani tukaingia mimi, dogo na majirani wawili.
Gafla mwanamke akaniangukia miguuni analia kua anaomba sana msamaha kwa aliyonikosea, bado ananipenda Sana. Bila Mimi Ni Bora time after afutike duniani.
Nikatulia nikamsikiliza wee, Kisha nikamtoka miguuni nikaenda zangu nje.
Dogo akanifata na kunambia nimsamehe sista ake.
Nkamwambia ata nikimsamehe uyo Sina tenA mapenz nae. Uyu Ntakua namuongopea TU.
Akasema wee msamehe TU hivo hivo kinafiki ili mradi asijiue uyu, dada angu ana Hali mbaya naomba nielewe.
Nkamwambia "sawa nmekuelewa"

Basi nikarud ndani,
Nikamuinua nkamwambia yameisha, akanikumbatia.
Dogo akawaambia wale majiran watoke nje kwanza, watuache tuyaongee wenyewe.
Walipotoka Namimi nkatoka nje, nkamwambia Dogo kua nishamsamehe naondoka.

Akanambia,
"mej, nakuomba sana urud ndan ukae na dada"

Nkamwambia,
"Hilo haliwezekani nishamsamehe naomba nikaendelee na shughuli zangu"

Akanambia
"Meji naomba angalau urud ndan ukasex nae TU kidg moyo wake uridhike, namimi nipumzike mateso haya jaman"

Nkamwambia,
"Kusex nae haiwezekani . Ata uking'ang'aniza kwa leo TU uyu Ni mpaka nimpime kwanza. Siwez jua uko kakwaa vitu gani alipokua anajimwambafai na uyo jamaa wake mwalimu"

Akasema.
"Basi Rudi umkiss namimi nione moyo wake uridhike"

Basi tukarud ndan,
nikamkiss mdomon mbele ya dogo, yeyebakataka niendeee kumkiss nikakatisha na kumuaga kua naondoka. Kisha nikawaachia Ela ya kula nikatoka nje na kuondoka zangu.

Kufika kazin Dogo akawa ananishukuru Sana na kuniahidi kesho yake atanipa penz la nguvu Kama shukran kwa kumuweka sawa dada ake.
Akanambia pia jins gan dada ake kila kukicha anajuta kutengna na Mimi.

Basi wiki ile ya kurud kazin ikafika, Jama akanifahamisha kua anamrudisha kazin. Nikamwabia sawa Sina tatizo na Hilo. Na kweli akarudi kazin.

Maisha yanaendelea, baada ya mwezi mbele nikaja mpima dada mtu nikakuta Yuko NEGATIVE. Basi nikarejea kusex nae Kama kawaida.

Inaendelea.....
Ikabd nimuulize,
"wee vipi skuhz mbona mbona unalia lia Sana shida za pesa, sio kawaida yako na juz nmetoka kukupa pesa"

Akafunguka kua baada ya dada kua nje ya Kaz, jamaa nae akaingia mitini.
Dada ake akawa anakula na matumiz yote kwa kupitia mgongo wa Dogo. Yaan zile hela ndogo ndogo za matumiz nlizokua Nampa Dogo, kumbe dogo ndo alkua anabajeti wanapika na kula pamoja pale home.
Alinifahamisha kua maisha kwa Sasa kwake Ni magum Sana kuliko nyuma hata performance yake chuon inashuka sana, hakai na kutulia.
Nkamwambia "sawa nmekulewa"

Basi siku zikaenda, mwanamke yule akawa anatuma sana sms za kuomba Sana msamaha nazipotezea.
Anatuma sana RAFIKI zangu, napotezea.
Akipiga sim yake, napotezea.

Siku moja Niko kazin kwangu mchana, Dogo akanipigia sim kua Kuna tatizo niende haraka sana kwa dada ake.
Kufika nje nikakuta kibarazan dogo na majirani wanampa maziwa dada ake, na matapishi kibao pemben yenye vidonge yako Aina tofaut tofauti.
Nkauliza shida nn wakanambia kua uyu alikunywa sumu. Basi nkawaambia wamuingize ndan.
Pale nje sio ustaarabu wanafaidisha TU watu.

Basi ndani tukaingia mimi, dogo na majirani wawili.
Gafla mwanamke akaniangukia miguuni analia kua anaomba sana msamaha kwa aliyonikosea, bado ananipenda Sana. Bila Mimi Ni Bora time after afutike duniani.
Nikatulia nikamsikiliza wee, Kisha nikamtoka miguuni nikaenda zangu nje.
Dogo akanifata na kunambia nimsamehe sista ake.
Nkamwambia ata nikimsamehe uyo Sina tenA mapenz nae. Uyu Ntakua namuongopea TU.
Akasema wee msamehe TU hivo hivo kinafiki ili mradi asijiue uyu, dada angu ana Hali mbaya naomba nielewe.
Nkamwambia "sawa nmekuelewa"

Basi nikarud ndani,
Nikamuinua nkamwambia yameisha, akanikumbatia.
Dogo akawaambia wale majiran watoke nje kwanza, watuache tuyaongee wenyewe.
Walipotoka Namimi nkatoka nje, nkamwambia Dogo kua nishamsamehe naondoka.

Akanambia,
"mej, nakuomba sana urud ndan ukae na dada"

Nkamwambia,
"Hilo haliwezekani nishamsamehe naomba nikaendelee na shughuli zangu"

Akanambia
"Meji naomba angalau urud ndan ukasex nae TU kidg moyo wake uridhike, namimi nipumzike mateso haya jaman"

Nkamwambia,
"Kusex nae haiwezekani . Ata uking'ang'aniza kwa leo TU uyu Ni mpaka nimpime kwanza. Siwez jua uko kakwaa vitu gani alipokua anajimwambafai na uyo jamaa wake mwalimu"

Akasema.
"Basi Rudi umkiss namimi nione moyo wake uridhike"

Basi tukarud ndan,
nikamkiss mdomon mbele ya dogo, yeyebakataka niendeee kumkiss nikakatisha na kumuaga kua naondoka. Kisha nikawaachia Ela ya kula nikatoka nje na kuondoka zangu.

Kufika kazin Dogo akawa ananishukuru Sana na kuniahidi kesho yake atanipa penz la nguvu Kama shukran kwa kumuweka sawa dada ake.
Akanambia pia jins gan dada ake kila kukicha anajuta kutengna na Mimi.

Basi wiki ile ya kurud kazin ikafika, Jama akanifahamisha kua anamrudisha kazin. Nikamwabia sawa Sina tatizo na Hilo. Na kweli akarudi kazin.

Maisha yanaendelea, baada ya mwezi mbele nikaja mpima dada mtu nikakuta Yuko NEGATIVE. Basi nikarejea kusex nae Kama kawaida.

Inaendelea.....
hii story ni ya kwako mwenyewe ama!!.
kama ni ya kwako endelea kupata kichapo
 
Back
Top Bottom