Ikabd nimuulize,
"wee vipi skuhz mbona mbona unalia lia Sana shida za pesa, sio kawaida yako na juz nmetoka kukupa pesa"
Akafunguka kua baada ya dada kua nje ya Kaz, jamaa nae akaingia mitini.
Dada ake akawa anakula na matumiz yote kwa kupitia mgongo wa Dogo. Yaan zile hela ndogo ndogo za matumiz nlizokua Nampa Dogo, kumbe dogo ndo alkua anabajeti wanapika na kula pamoja pale home.
Alinifahamisha kua maisha kwa Sasa kwake Ni magum Sana kuliko nyuma hata performance yake chuon inashuka sana, hakai na kutulia.
Nkamwambia "sawa nmekulewa"
Basi siku zikaenda, mwanamke yule akawa anatuma sana sms za kuomba Sana msamaha nazipotezea.
Anatuma sana RAFIKI zangu, napotezea.
Akipiga sim yake, napotezea.
Siku moja Niko kazin kwangu mchana, Dogo akanipigia sim kua Kuna tatizo niende haraka sana kwa dada ake.
Kufika nje nikakuta kibarazan dogo na majirani wanampa maziwa dada ake, na matapishi kibao pemben yenye vidonge yako Aina tofaut tofauti.
Nkauliza shida nn wakanambia kua uyu alikunywa sumu. Basi nkawaambia wamuingize ndan.
Pale nje sio ustaarabu wanafaidisha TU watu.
Basi ndani tukaingia mimi, dogo na majirani wawili.
Gafla mwanamke akaniangukia miguuni analia kua anaomba sana msamaha kwa aliyonikosea, bado ananipenda Sana. Bila Mimi Ni Bora time after afutike duniani.
Nikatulia nikamsikiliza wee, Kisha nikamtoka miguuni nikaenda zangu nje.
Dogo akanifata na kunambia nimsamehe sista ake.
Nkamwambia ata nikimsamehe uyo Sina tenA mapenz nae. Uyu Ntakua namuongopea TU.
Akasema wee msamehe TU hivo hivo kinafiki ili mradi asijiue uyu, dada angu ana Hali mbaya naomba nielewe.
Nkamwambia "sawa nmekuelewa"
Basi nikarud ndani,
Nikamuinua nkamwambia yameisha, akanikumbatia.
Dogo akawaambia wale majiran watoke nje kwanza, watuache tuyaongee wenyewe.
Walipotoka Namimi nkatoka nje, nkamwambia Dogo kua nishamsamehe naondoka.
Akanambia,
"mej, nakuomba sana urud ndan ukae na dada"
Nkamwambia,
"Hilo haliwezekani nishamsamehe naomba nikaendelee na shughuli zangu"
Akanambia
"Meji naomba angalau urud ndan ukasex nae TU kidg moyo wake uridhike, namimi nipumzike mateso haya jaman"
Nkamwambia,
"Kusex nae haiwezekani . Ata uking'ang'aniza kwa leo TU uyu Ni mpaka nimpime kwanza. Siwez jua uko kakwaa vitu gani alipokua anajimwambafai na uyo jamaa wake mwalimu"
Akasema.
"Basi Rudi umkiss namimi nione moyo wake uridhike"
Basi tukarud ndan,
nikamkiss mdomon mbele ya dogo, yeyebakataka niendeee kumkiss nikakatisha na kumuaga kua naondoka. Kisha nikawaachia Ela ya kula nikatoka nje na kuondoka zangu.
Kufika kazin Dogo akawa ananishukuru Sana na kuniahidi kesho yake atanipa penz la nguvu Kama shukran kwa kumuweka sawa dada ake.
Akanambia pia jins gan dada ake kila kukicha anajuta kutengna na Mimi.
Basi wiki ile ya kurud kazin ikafika, Jama akanifahamisha kua anamrudisha kazin. Nikamwabia sawa Sina tatizo na Hilo. Na kweli akarudi kazin.
Maisha yanaendelea, baada ya mwezi mbele nikaja mpima dada mtu nikakuta Yuko NEGATIVE. Basi nikarejea kusex nae Kama kawaida.
Inaendelea.....