Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Kalishwa ndoa ya kimakonde huyoo!limbwata limemkolea!!!!
Sio limbwata dada angu.
Niko na akili zangu timamu kabisa.

Ila kiukweli uyu mwanamke sex ndo suala linaloniweka kwake mpk leo hii.

Kwa tabia zake mbovu mbovu ningekua nishampiga chini MDA Sana.

Can u imagine, mdg wake ni mrembo kuliko yeye na anaonyesha kunipenda sana na ana utu Sana.
Ila Sina feelings nae kabisa linapokuja suala zima la hamu ya kusex nae.
 
Sio bure mkuu! K imemiminiwa kitu ukitumbukia husikii kitu mzee, pole na changamoto hiyo.
 
Umerogwaa ukarogekaa!huna pa kwenda!ushafika weyee!!;Huyo Dada mganga wake mkali Sana'a![emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Nilipofika mbona ata Sina stress na uyu.
Nishamzoea
Hapa nafikiria kumchezesha ngoma ya kibabe tuoneshane makali.[emoji4]
Achana nae uyo mkuu tafuta anaejielewa ila hiyo posho ya meza[emoji23][emoji1787] uzinzi kazi sanaa
 
Achana nae uyo mkuu tafuta anaejielewa ila hiyo posho ya meza[emoji23][emoji1787] uzinzi kazi sanaa
Tena KAZI Kubwa Sana.
Seema ndo hivyo Sasa tutafanyaje, tayar wanaume tushaumbwa mateso.
Tunapambana hivo hivo mkuu[emoji4]
 
Nakubaliana na wewe, K imewekwa kitu adimu jamaa hachomoki.
[emoji1][emoji1]akili ya kawaida haiko hivi jamani kaahh!kumbe kuna mang'ombe km haya!hapo anamrudia tena soon!

Ngoja tuu!!!ataleta Uzi!!!ila demu hamtaki jamaa asilani!jamaa kafa kaoza
 
[emoji1][emoji1]akili ya kawaida haiko hivi jamani kaahh!kumbe kuna mang'ombe km haya!hapo anamrudia tena soon!

Ngoja tuu!!!ataleta Uzi!!!ila demu hamtaki jamaa asilani!jamaa kafa kaoza
Ha ha ha...
Ungekua Mwanaume ungejua nn namaanisha.

Kuna wanawake ni watamu ASIKWAMBIE mtu[emoji4]
 
Dah, unashindana na mwanamke?
Unashida kichwani, jiangalie vzr.
 
Kuna akili inaniambia hii ni chai tu, tafuta chapati mbili kabla haijapoa...

Kuna akili inaniambia hii ni kisa cha kweli, kwa jinsi ulivyokisimulia...

Sasa iwe kweli au chai, mkuu usitumie kichwa kufugia nywele tu...
Mimi pale alivyoshindwa kumla mdogo wa mchepuko alivyorudi bar usiku nikaona ni Chai hakuna mwanaume wa hivyo
 
Boss huyo mchepuko akija kupata mimba utaharibu ndoa yako,atakusumbua sana na mwanamke akiwa na damu yako huna ujanja, huyo na mdogo wake wanakupendea pesa tu, ijali familia yako. Ila kama unataka watoto wenye mama tofauti endelea na huyo mchepuko lkn pia tuwapende wake zetu maana wanavumilia mengi sana, hata ukiwa na mchepuko usimpe hadhi ya kama mke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…